Ujue hakuna usawa duniani Zaidi ya kifo tu usidanganyike mimi ni wawanyonge ,ukifanya mchezo nakutumbua etc.Pambana na hali yako na Mungu wako .Hapa tunasahaulishwa utaambiwa hakuua,familia itasaidiwa ,jamaaa atatoka kimya kimya jela kesi itaendeshwa na Uncle angu kwa remote control mlie nyie msie na Uncle lazima mfungwe au myongwe mpaka mfe.Muda utaongea lakini yote yanamwisho