Kesi ya akina Mdee: Ndugai na Mahera Kortini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,449
Reaction score
283,759
Taarifa kutoka Mahakamani zinaeleza kwamba , miongoni mwa mashahidi Muhimu kwenye kesi iliyofunguliwa na Mamluki Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA , watakaohojiwa na Mawakili wa Utetezi , yumo Spika aliyefurushwa madarakani , Job Ndugai na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Dr Mahera .

Chanzo : Raia Mwema .

Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
 
Hii nchi Mungu kwa huruma yake angei overhaul tu
 
Hehehe....umesema tume nini?
 
Mahela na Ndugai Mungu angeliamua UGOMVI
 
Ingelikua mahakama ziko huru wangalau ningetegemea huyo Ndugai na Mahera kukutana na kitu kizito. Ila kwa hizi mahakama zinazotoa maamuzi kinyume kabisa na mwenendo wa ushahidi, sitegemei jipya lolote.
 
SPIKA aliyekimbizwa Ofisini atakuwa shambani sijui kama atafika
 
Nilisikia Ndugai baada ya kuropoka, alipelekewa barua asaini, akaambiwa madhara ya kutokuisaini, akaamua kusaini, akajiuzulu. Mwenye kujua zaidi atuwekee bayana hapa.


Jesus is Lord
 
Hii filamu itaisha kwa Chadema kuaibika kama kawaida yao.
 
Afya ya wanaohojiwa zichekiwewe kwani makamanda walikua wanakimbilia chooni sio mchezo kizimbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…