Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,449
- 283,759
Hii nchi Mungu kwa huruma yake angei overhaul tuTaarifa kutoka Mahakamani zinaeleza kwamba , miongoni mwa mashahidi Muhimu kwenye kesi iliyofunguliwa na Mamluki Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA , watakaohojiwa na Mawakili wa Utetezi , yumo Spika aliyefurushwa madarakani , Job Ndugai na Mkurugenzi wa Tume duni ya Uchaguzi Dr Mahera .
Chanzo : Raia Mwema .
Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
[emoji38][emoji38][emoji38]Hii nchi Mungu kwa huruma yake angei overhaul tu
Hehehe....umesema tume nini?Taarifa kutoka Mahakamani zinaeleza kwamba , miongoni mwa mashahidi Muhimu kwenye kesi iliyofunguliwa na Mamluki Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA , watakaohojiwa na Mawakili wa Utetezi , yumo Spika aliyefurushwa madarakani , Job Ndugai na Mkurugenzi wa Tume duni ya Uchaguzi Dr Mahera .
Chanzo : Raia Mwema .
Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Ndugai mzimu wa laana umeanza kumwandamaUtamu mwingine wa pgo unaanza nchi ina raha Sana hii ni hekaheka kila siku
Ila kweli maana kila kitu kiko vululuvululu tu.Hii nchi Mungu kwa huruma yake angei overhaul tu
Anaanza kuvuna alichopanda.Ndugai mzimu wa laana umeanza kumwandama
Mahela na Ndugai Mungu angeliamua UGOMVIHii nchi Mungu kwa huruma yake angei overhaul tu
Mahela na Ndugai Mungu angeliamua UGOMVITaarifa kutoka Mahakamani zinaeleza kwamba , miongoni mwa mashahidi Muhimu kwenye kesi iliyofunguliwa na Mamluki Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA , watakaohojiwa na Mawakili wa Utetezi , yumo Spika aliyefurushwa madarakani , Job Ndugai na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Dr Mahera .
Chanzo : Raia Mwema .
Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
🤣🤣tena?Mahela na Ndugai Mungu angeliamua UGOMVI
Yes! Ingelipendeza zaidi🤣🤣tena?
SPIKA aliyekimbizwa Ofisini atakuwa shambani sijui kama atafikaTaarifa kutoka Mahakamani zinaeleza kwamba , miongoni mwa mashahidi Muhimu kwenye kesi iliyofunguliwa na Mamluki Halima Mdee na wenzake 18 dhidi ya CHADEMA , watakaohojiwa na Mawakili wa Utetezi , yumo Spika aliyefurushwa madarakani , Job Ndugai na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Dr Mahera .
Chanzo : Raia Mwema .
Endelea kufuatilia hapahapa JF kwa taarifa zaidi .
Hii ni stori tu haiwezekaniSPIKA aliyekimbizwa Ofisini atakuwa shambani sijui kama atafika
TOA CCM MADARAKANI BASI, ACHA KULIA LIAHii nchi Mungu kwa huruma yake angei overhaul tu
Ingependeza zaidiMahela na Ndugai Mungu angeliamua UGOMVI