Kesi dhidi ya Star Times

Kesi dhidi ya Star Times

DissDotCom

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2014
Posts
395
Reaction score
268
Nilinunua simu ya startimes ya 129000. Zile simu zina tatizo la kujitoa memory card ikiwa simu ipo on. Uzuri wenyewe wanajua maana nilipoirejesha walijua tatizo na wakaomba niiache.

Tatizo langu kubwa ni kwamba, baada ya kwenda kuichukua na kuniambia ipo tayari walikua wamedelete kila kitu na ile memory kurudi upya ikiwa ni pamoja na kufuta mafile yangu muhimu. Je, nina haki ya kuwashitaki?

Nisaidieni wakuu katika hili.

 
Kawashtaki ICC mkuu. lazima wakulipe angalau TZS 10,000 za usumbufu.
 
sasa na data zangu watazirejesha kwa hyo 10000
 
Uliwaambia kilichomo kwenye Memory card kiachwe?,maana kama wamefanya kinyume na makubaliano hapo kweli,lakini kama hukuwaambia,wakichofanya ni kutibu tatizo na kukupa simu ikiwa zima..
 
Lakini mbaka uwaambie kitu flani ndani ya memory wakiache wakati haviwausu?
 
Mbaka awaambie wakati ni wajibu wao kuacha
Uliwaambia kilichomo kwenye Memory card kiachwe?,maana kama wamefanya kinyume na makubaliano hapo kweli,lakini kama hukuwaambia,wakichofanya ni kutibu tatizo na kukupa simu ikiwa zima..
 
kufuta kisichowahusu ni kama kuingilia siri binafsi za mtu
 
hakuna kesi hapo, wakikuambia wamekupa simu mpya, memo card mpya,
 
Unapo peleke kifaa kwa fundi/ customer service repair unapaswa kuwa umetoa data zako zote muhimu na hawezi ku na jukumu la kujibu kwa upotevu wowote ule wa data, jifunze hata kwa fundi wako wa mtaani kabla hujawafikia star times
 
Unapo peleke kifaa kwa fundi/ customer service repair unapaswa kuwa umetoa data zako zote muhimu na hawezi ku na jukumu la kujibu kwa upotevu wowote ule wa data, jifunze hata kwa fundi wako wa mtaani kabla hujawafikia star times

tofauti iliyopo pale ni kuwa waliniambia kabisa wanarekebisha...so ckuwa na shauku bt walipaswa waniulize coz ilikua ktk warrant na hata hvyo nimegundua simu hizo ndo zina tatizo hilo coz nilikuata folen ya watu wamezirudisha
 
Back
Top Bottom