Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,054
- 3,263
Ukweli ni kwamba atamkalo mtu ndilo lilipo moyoni.
Nilisikia leo Waziri Mkuu wa nchi ,akisema kua ,"kesho yaweza kua ni Chadema "kuingoza nchi .
Kwaninj hakusema ,kesho yaweza kua ni " CUF" au "NCCR' au " UKAWA" .
Je ina maana kwamba "CHADEMA " Ndio chama chenye mwelekeo wa kusbika nchi siku zijazo ,au "UKAWA" ni "CHADEMA " Na Hakuna cha CUF wala NCCR..? au
Ni kwann kauli hiyo ya kushila Dola ilidondoka moja kwa moja kwa CHADEMA bila kutaja anagalau chama kingine kimoja cha Upinzani ?
Nilisikia leo Waziri Mkuu wa nchi ,akisema kua ,"kesho yaweza kua ni Chadema "kuingoza nchi .
Kwaninj hakusema ,kesho yaweza kua ni " CUF" au "NCCR' au " UKAWA" .
Je ina maana kwamba "CHADEMA " Ndio chama chenye mwelekeo wa kusbika nchi siku zijazo ,au "UKAWA" ni "CHADEMA " Na Hakuna cha CUF wala NCCR..? au
Ni kwann kauli hiyo ya kushila Dola ilidondoka moja kwa moja kwa CHADEMA bila kutaja anagalau chama kingine kimoja cha Upinzani ?