Shirikisho la riadha Tanzania -RT kesho linatarajia kufanya uchaguzi wao mkuu wa viongozi mbalimbali, ikiwemo rais na makamu wake; nafasi ya uwakilishi wanawake na nafasi ya ujumbe kwenye kamati ya utendaji.
Nafasi ya katibu
hakuna kwenya uchaguzi huu , bali itakuwa ni ya kuajiriwa; watu watatuma vyeti vyao ili wachaguliwe;
Uchaguzi huo utafanyika jijini Mwanza tarehe 16 agosti 2025.
Tusubiri tuone mtanange huo.