Kesho siku ya jumanne tar 22 sept dr magafuli, mgombea urais kupitia cha mapinduzi ccm atafika wilayan ngara kuomba ridhaa kwa wanangara il wamchangue kuwa rais wa tanzania, mkutano wa hadhara utafanyika ktk viwanja vya old posta, mkutano wa hadhara wa hadhara utatanguliwa na mkatano wa ndan ambao ataongea na wazee wa ngara lengo ni kuweka mambo sawa ili ushindi upatikane.