Na furushi moja eti linakuja jisifia hapa kutembea na ex, halafu ex mwenyewe mke wa mtu, na wewe unaona umeyapatia maisha??? Mwanamke ana magoli mawili ya kidume chenzio, Bruh' hujiskii hata kinyaa..??
Usisahau unapoondoka kwenu uwaonyeshe sehemu ya nyumba yako ya milele🤣🤣🤣 unakoenda kesho ni sawa na nyumbu kwenda kukorofisha sehemu simba walipolala😅😅😅
Na furushi moja eti linakuja jisifia hapa kutembea na ex, halafu ex mwenyewe mke wa mtu, na wewe unaona umeyapatia maisha??? Mwanamke ana magoli mawili ya kidume chenzio, Bruh' hujiskii hata kinyaa..??