de98
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 737
- 760
Heshima ziende kwenu wakuu,
Hivi nanyi huwa mnakutana na kero za wapiga debe al maarufu kwa jina saranga.
Wapiga debe wa hapa Magufuli stand kiukweli wamekua kero mno hawana tofauti na boda boda ukimuangalia usoni tu huyo alishakuja kukushika nguo akijua ni abilia.
Hatukatai kuwa nao wanatafuta riziki lakini njia ya utafutaji imekua kero mno kwa sisi ambao huwa tunapita mazingira ya darajani juu kuwahi usafiri makazini asubuh na jioni au kwenye mishe mishe zingine tu pembezoni kwa stand iyo.
Njia ipi mdau unadhani ni sahihi kwao katika utaftaji riziki ili hata tunapowajibu isiwe kwa ghazabu, nawasilisha.
Hivi nanyi huwa mnakutana na kero za wapiga debe al maarufu kwa jina saranga.
Wapiga debe wa hapa Magufuli stand kiukweli wamekua kero mno hawana tofauti na boda boda ukimuangalia usoni tu huyo alishakuja kukushika nguo akijua ni abilia.
Hatukatai kuwa nao wanatafuta riziki lakini njia ya utafutaji imekua kero mno kwa sisi ambao huwa tunapita mazingira ya darajani juu kuwahi usafiri makazini asubuh na jioni au kwenye mishe mishe zingine tu pembezoni kwa stand iyo.
Njia ipi mdau unadhani ni sahihi kwao katika utaftaji riziki ili hata tunapowajibu isiwe kwa ghazabu, nawasilisha.
