Kero Number Tatu:
Udhibiti wa madereva wazembe wanaosababisha foleni katika jiji la dar es Salaam.
Pamoja na miundo mbinu ya jiji ya Dar es salaam kuwa na mapungufu hivyo kusababisha foleni, Asilimi zaidi ya 60 ya foleni husababishwa na Madereva wazembe hasa dala dala kushusha na kupakia abiria katikati ya bara bara. Wengine wapo kwenye vituo lakini bado wanakaidi kuingia kwenye vituo na kupakia abairia nje ya vituo.
hivi trafic hawatoshi kupangwa kila kituo?