Kero za ofisi za uhamiaji

Kero za ofisi za uhamiaji

Ed771

Member
Joined
May 8, 2016
Posts
37
Reaction score
15
Yaani inakaribia mwezi wa pili huu naomba Passport uhamiaji wananizungusha kama sio mtanzania, inauma kwa kweli, kila unapoenda wanaagiza ulete document mpya nå kila siku wanataka urekebishe kitu hivyo nimeamua kuja hapa jamvini kujua kama hii ni kawaida au la
 
Back
Top Bottom