Washenzi wa tabia kweli wale vijana na wengi wananyanyua nyanyua vyuma basi na hayo manyama uzembe wao wanajihisi kila mtu anawaogopa....Niliwatolea uvivu siku moja maeneo ya Stanley Bar nimepark gar faster nikaingia kwenye duka la jiran yaan kama 3 minutes kutoka nkakuta ndo wanavalisha hiyo michum yao....Nkawai kwenye gar kabla hawafunga vizur ilikuwa nawakanyage wote...pumbavu wakawa wameshafunga tair ikazungusha ule mchuma wao ikaisha upepo...sikuongea nao nkashuka kwenye gar nikaelekea hardware ya karibu nkanunua panga na nyundo, ile narud wakawasha gar lao wakaelekea kwa wale maaskar wa CRDB nilivyokuwa na hasira niliweka panda chin ya kale kakuful chao nkapiga nyundo moja tu, kakaruka kule nkatoa ule mchuma wao nkautupia kwenye gar....nkatoa tyre ya spare nkabadilsha taratiiib sina hata haraka ila kwa hasira nilyokuwa nayo ningeua yeyote ambaye angenisogelea...Nikabadilisha tyre huyo....Nilikuwa naelekea Moshi nkaenda nikaliacha lichuma lao huko...hakuna aliesubutu kunifuatilia....So sometym komaa nao wapuuz sana.