KERO Kero ya Muziki mkubwa HIGHBURY Bar (Tabata - Mawezi, Dar)

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Highbury Bar iliyopo Tabata Mawenzi imekuwa na kawaida ya kupiga muziki usiku kucha kwa sauti ya juu sana na hivyo kupelekea usumbufu kwa wakazi waishio jirani na bar hii.

Pamoja na viongozi wa Serikali ya Mtaa kupelekewa malalamiko juu ya kadhia hii lakini hakuna hatua zilizochukuliwa.

Hivyo kupitia jukwaa hili tunaomba mtusaidie kupaza sauti ili kuondoa kero hii ambayo imekuwa kadhia kubwa sana.
 
Highbury Bar iliyopo Tabata Mawenzi imekuwa na kawaida ya kupiga muziki usiku kucha kwa sauti ya juu sana na hivyo kupelekea usumbufu kwa wakazi waishio jirani na bar hii.

Pamoja na viongozi wa Serikali ya Mtaa kupelekewa malalamiko juu ya kadhia hii lakini hakuna hatua zilizochukuliwa.

Hivyo kupitia jukwaa hili tunaomba mtusaidie kupaza sauti ili kuondoa kero hii ambayo imekuwa kadhia kubwa sana.
Serikali ya mtaa inalalamika?
 
Poleni sana kwanza mnakero ya mahandaki kwenye barabara yenu mnafika home viuno vinawauma maana barabara yenu kuanzia mawenzi mpk bima imeoza mkifika mpumzike hamuwezi maana ni mwendo wa mziki mnene lazima muwe na afya mbovu
 
Highbury Bar iliyopo Tabata Mawenzi imekuwa na kawaida ya kupiga muziki usiku kucha kwa sauti ya juu sana na hivyo kupelekea usumbufu kwa wakazi waishio jirani na bar hii.

Pamoja na viongozi wa Serikali ya Mtaa kupelekewa malalamiko juu ya kadhia hii lakini hakuna hatua zilizochukuliwa.

Hivyo kupitia jukwaa hili tunaomba mtusaidie kupaza sauti ili kuondoa kero hii ambayo imekuwa kadhia kubwa sana.
ACHA UCHAWI WAKO, MUZIKI UNAOPIGWA NI WA KAWAIDA KABISA, SIJUI LINI WATANZANIA WATAACHA MAJUNGU.
 
Highbury Bar iliyopo Tabata Mawenzi imekuwa na kawaida ya kupiga muziki usiku kucha kwa sauti ya juu sana na hivyo kupelekea usumbufu kwa wakazi waishio jirani na bar hii.

Pamoja na viongozi wa Serikali ya Mtaa kupelekewa malalamiko juu ya kadhia hii lakini hakuna hatua zilizochukuliwa.

Hivyo kupitia jukwaa hili tunaomba mtusaidie kupaza sauti ili kuondoa kero hii ambayo imekuwa kadhia kubwa sana.
Mawenzi ni Kubwa
 
ACHA UCHAWI WAKO, MUZIKI UNAOPIGWA NI WA KAWAIDA KABISA, SIJUI LINI WATANZANIA WATAACHA MAJUNGU.
wakawaida kwako huenda usiwe wa kawaida kwakwe ndio maana sehemu kama hizi zinaweza kuamua kabisa kublast mziki wanavyotaka ila kwa teknolojia ya sasa kwanini wasiweke sound proof kama ni ndani au kusambaza speaker nyingi kama ni nje ? Anasa kwa mmoja isiwe karaha kwa mwingine
 
Back
Top Bottom