fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
- Thread starter
- #21
Kabla ya kuandika nimesoma ripoti ndio maana nimekokotoa na kuoa inapaswa kuwa wala 38TZS, annual report iko mtandaoni pakuaThanks,sasa imepatikana japo hiyo 17% utaacha kuwagawia watu? Mi naona kama kuna haja ya kwenda kusoma repoti nzima..anyway labda mchezo unaweza kuwa umetokea