mkuu nipo tukuyu right now weka 105.7 chai fm radio nikupe shout outat unajiita super hand some kweli , vipi Marinda yapo ?
Wewe unakaa maeneo hayo?sio Landmark ni Lux Bar
Khaaa wanyakyusa wameacha kunywa mataputapu siku hizi wanakunywa bia kweli wonders shall never end, Hao wanyakyusa ni wachafu sijawahi kuona ule unywaji wa pombe midomo yote bakuli moja, Ahaaa nakumbuka mtu wanakula pamoja kwenye misiba anaamua kunyanyua bakuli la mchuzi na kunywa ni uchafu uchafu, Badilikeni jamani magonjwa siku hizikweli ngoja tujaribu uvumilivu
Khaaa wanyakyusa wameacha kunywa mataputapu siku hizi wanakunywa bia kweli wonders shall never end, Hao wanyakyusa ni wachafu sijawahi kuona ule unywaji wa pombe midomo yote bakuli moja, Ahaaa nakumbuka mtu wanakula pamoja kwenye misiba anaamua kunyanyua bakuli la mchuzi na kunywa ni uchafu uchafu, Badilikeni jamani magonjwa siku hizi
mkuu nipo tukuyu right now weka 105.7 chai fm radio nikupe shout out