frontline7
Member
- Sep 26, 2013
- 31
- 25
Wewe hujakua&experience ni Zero...taasis karibu zoote za serikali ya tz zina mifumo mibovu....Horseshoe Arch. Tukikaa kimya na kusubiri kumaliza kisa mfumo ni m-baya, ni lini mfumo utakua sawa? Ni nani wa kuuweka sawa huo mfumo m-bovu? Hatufundishwi kuwa waoga na wakimya. kama ndo hivyo hizi degree zitakua kwenye makaratasi tu na zitakuwa hazina mantiki yoyote kiuhalisia.
Jaribu kuwa open-minded. Mbona wewe umesahau kua hiki ni chuo cha wananchi? Wanapaswa kufaham pia ni nini kinaendelea humu ndani. Pia jaribu kuisoma vizuri post na kuielewa. Kati ya niloyosema sikusahau kusema pia suala la watawala kuyafumbia macho mambo kama haya.Wewe hujakua&experience ni Zero...taasis karibu zoote za serikali ya tz zina mifumo mibovu....
Afu why uitaje taasisi kwa makosa yaliyofanywa na mtu/watu wawili watatu?...
Hapa unapopost ndo mahakamani?..Will it help?
Kama unajiamini...why usiwapeleke hao non-academicians kwa Principal wako?...
"DOGO PIGA SHULE UENDE ZAKO....UTUACHIE UDOM YETU."
Am open minded...Jaribu kuwa open-minded. Mbona wewe umesahau kua hiki ni chuo cha wananchi? Wanapaswa kufaham pia ni nini kinaendelea humu ndani. Pia jaribu kuisoma vizuri post na kuielewa. Kati ya niloyosema sikusahau kusema pia suala la watawala kuyafumbia macho mambo kama haya.
Udom ni yangu pia. Sina hakika sana kama ulishawahi kupita hapa na kama ulishapita nadhani utakua ni walewale ambao hamjawahi kutokewa na haya matabia mabaya.
Pili unasema taasisi zote za serikali zina mifumo mibovu.. then what??? Tukae kimya tu kwa sababu mfumo ni mbovu!!!
That will be so stupid.
UDOM kuna mambo hayako sawa ki ukweli....mikopo yenyewe watu wanasaini lakini wanacheleweshewa kuingiziwa kwa wakati ilhali bodi ya mikopo ishawaingizia pesa...mambo ya kiutawala hayapo sawa kabisa.NJALI hizo nazo ni sababu. Kuna wakati huwa mpaka walinzi wanakua wanawaropokea wanafunzi tu kama wanaongea na watoto wadogo. Tutaendelea kupambana nao mpaka waelewe kua hii ni elimu ya juu. Ila lengo langu lilikua ni watu wajue hali ilivyo.
Kwa hiyo kumbe kutolewa kauli za maudhi na dharau wewe kwa mawazo yako unaona ni sawa tu na hazipaswi kulalamikiwa kwa sababu yeye ni mwanafunzi etiii??Mwanafunzi unalalamikia kauli mbovu za watumishi wa chuo? Hata hivo ni haki yako ndugu mwanafunzi wa science-UDOM
UDOM NZIMA KUNA OMBWE LA UTAWALA, NIMESOMA PALE 2010, KUNA MIUNGU WATU PALE. MIMI NAFIKIRIA VIBURI VYAO VINASABABISHWA NA JINSI WALIVYO PATA HIZO NAFASI: 1. UKABILA 2. UDINI 3. PAPUCHI 4.RUSHWA 5. KUBALANSI MUUNGANO NDIO WENGINE WALITOLEWA KWA JECHA KUJA KUFUNDISHA HAPO. KWA UFUPI CHUO HICHO KIKO KISIASA SIASA SANA.
Hapa sasa ndio umewasilisha mawazo kama mtu mwenye akili timamu sio kama ulivyocomment mara ya kwanza etii piga shule "taasisi zote za serikali ziko hivyo" khaah... au tayari nilianza kuhisi na wewe ni mmoja wapo ya wanaofanya huo ujinga unaoongelewa kwenye hii post.Am open minded...
not just passed through but long living
FIND THE RIGHT CHANNEL OF PROBLEM(s)....Andikeni barua pelekeni ngazi za juu/ikiwezekana kwa mtumbua MAJIPU
Unaweza kuwa na hoja ya Msingi but ukaipeleka kwenye wrong channel....It wont help....
Upo sahihi sana mkuu, japo kuna watu ambao ni sehemu ya mfumo naona wanakuja na maneno shombo dhidi ya mtoa uzi. Uongozi wa UDOM ni Mbovu, mbovu, mbovu, haufai kuanzia juu mpaka chini, hatuzungumzi majungu. Tulete fitna ili tupate faida gani sasa.UDOM NZIMA KUNA OMBWE LA UTAWALA, NIMESOMA PALE 2010, KUNA MIUNGU WATU PALE. MIMI NAFIKIRIA VIBURI VYAO VINASABABISHWA NA JINSI WALIVYO PATA HIZO NAFASI: 1. UKABILA 2. UDINI 3. PAPUCHI 4.RUSHWA 5. KUBALANSI MUUNGANO NDIO WENGINE WALITOLEWA KWA JECHA KUJA KUFUNDISHA HAPO. KWA UFUPI CHUO HICHO KIKO KISIASA SIASA SANA.
madam aziza si alifail masters huyo nakumbuka hapo hapo udom? kweli kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria...Mimi kama mwanafunzi wa social science nina haya ya kuwaambia wana jf.
Hali si nzuri utawala wa social science.
Wafanyakazi wanaowaudumia wanafunzi hapa, wengi wao wamesahau maadili ya kazi na wanatumia vibaya vyeo walivyopewa ili kuwasaidia wanafunzi. Kero huwa kubwa zaidi wakati wa usajili wa wanafunzi pamoja na kusaini mikopo. Wafanyakazi hawa wana kauli mbaya pamoja na vitisho.
Wakati mwingine wanafikia hadI hatua ya kukataa kusikiliza matatizo ya wanafunzi wakitumia kero na visingizio vya kipumbavu na visivyo na tija. (Mfano; kanyoe nywele, kaniandikie barua kwanini saini yangu haipo kwenye form yako..n.k) ilhali wanatambua fika kuwa wanaosoma hapa ni watu wazima na wanaojitambua.
Ushkaji ni mwingi sana hapa.. hata ukisema ni umeamua kuchukua hatua na kwenda mbali zaidi kuwasilisha kero zako, tunachoambulia ni kufukuzwa chuo. Wengi hatupo nao na sababu walikua mstari wa mbele kutetea maslahi ya wanafunzi na kukataa amri zisizo na tija.
Upatikanaji wa vyumba (hostel) umekaa ki rushwa-rushwa tu, ma warden wakiongoza kwa kuwa na usumbufu pamoja na kauli za vitisho kwa wanafunzi.
Kuna miungu watu humu, wakwanza ni madam aziza. Yeye neno lake ni sheria, hata kama sheria yenyewe haipo kwenye students by laws.
Hii ni kuwapa taarifa tu wale wanaohitaji kuja kusoma hapa watambue kua changamoto ni nyingi. Ukiachana na maudhi ya utawala, mazingira pia yana changamoto zake nyingi sana.
Kama kweli serikali ina mtazamo wa kukifanya chuo hiki kuwa chuo cha kimataifa, kuna mengi ya kufanya na kuna majipu mengi sana ya kutumbuliwa.
Kuna mengi ya kusema ila kwa sasa ni hayo tu.
...where we dare to speak openly and freely"
Ana akili za udini tu yule mama coz ndio uliomuweka pale, hajui lingine lolote nje ya huo ulimwengu.madam aziza si alifail masters huyo nakumbuka hapo hapo udom? kweli kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria...