tKweli tunahitaji kukaa chini nakulifanyia kazi, chamgamoto ni je tunao watu wenye kuthubutu kutoa changamoto ya kweli..kumbuka kenya imewachukua miongo 2 ya hata kumwaga damu kufika hapo walipo leo. Natumaini kwa sifa yetu ya amani na upeo na busara za viongozi wetu tunaweza kufikia hapa wakenya walipofikia leo hii kwa amani kabisa!:smile-big:
Mpwa nimetafuta nafasi tangu jana jioni hapa.............
Sasa ni zamu ya State House Choir....tunaambiwa hii choir imekuwa formed na facilitated by Lucy Kibaki
Sasa ni zamu ya State House Choir....tunaambiwa hii choir imekuwa formed na facilitated by Lucy Kibaki
Hapo nazani wanatuzengua tu. Lucy Kibaki ajua wapi kuimba tena?
.....sijui hapa kwetu TZ kama kuna kitu kama ...STATE HSE choir.......!