joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,613
Angalieni balance sheet ya Nigeria vs Kenya, hapo ndiyo mnaweza kusema nchi gani ndiyo inafanya vizuri, acheni kuangalia matumizi ya nchi, nchi Kama Mauritius, inaongoza Africa kwa uchumi mzuri, lakini GDP yake ni ndogo na bajeti yake ni ndogo kuliko za Kenya na Tanzania, wangeweza kuweka bajeti kubwa kadri wapendavyo, hivyo hivyo kwa Botswana, uchumi wa nchi haupimwi kwa GDP au bajeti kubwa pekee, kuna mambo mengi lazima yote yawe yanawiana sawasawaAmazing that oil exports fund 67% of their budget yet you get that type of low budget for 180m souls.Alafu watu wengine hapa wanasifu Nigeria ati bajeti yao ndogo inaonyesha "wise spending and budgeting "