Kenya's 2018/2019 fiscal budget to hit 29 bln USD -7 bln USD more than Nigeria

Nyie wakenya ndio mpo kama Nigerian sasa amewapa za uso pamoja na ujuaji wenu arrogance and emptiness mmelamba za uso ndio mnakumbuka watz hahaha igbos nyoosha hao kiberians
Eti igbos nyoosha kiberians! You sound like a std. five slay queen on Instagram! Si kila comment unaleta ubishi! Naongea reality ya watu wa Afrika Mashariki! Unadhani migbo uliyemtaja anajua wewe ni mrundi? Hehe!:) Kwake wewe ni mEast Afrika tu ama labda hata mkenya! Saa zingine achana na keyboard tembea nje huko kuna hewa safi na fikra za watu wenye akili timamu. Au Bunjumbura si salama tena kutoka nje?
 
Eti igbos nyoosha kiberians! You sound like a std. five slay queen on Instagram! Si kila comment unaleta ubishi! Naongea reality ya watu wa Afrika Mashariki! Unadhani migbo uliyemtaja anajua wewe ni mrundi? Hehe!:) Kwake wewe ni mEast Afrika tu ama labda hata mkenya! Saa zingine achana na keyboard tembea nje huko kuna hewa safi na fikra za watu wenye akili timamu. Au Bunjumbura si salama tena kutoka nje?
Nipo busy na mamako
 
Eti igbos nyoosha kiberians! You sound like a std. five slay queen on Instagram! Si kila comment unaleta ubishi! Naongea reality ya watu wa Afrika Mashariki! Unadhani migbo uliyemtaja anajua wewe ni mrundi? Hehe!:) Kwake wewe ni mEast Afrika tu ama labda hata mkenya! Saa zingine achana na keyboard tembea nje huko kuna hewa safi na fikra za watu wenye akili timamu. Au Bunjumbura si salama tena kutoka nje?
Haiya haiya yote hii ya nn?
 
Kiingereza sikijui vizuri nitaendelea na Kiswahili chetu mwanana, hivi tajiri anayetumia pesa ndogo kwa mwezi katika matumizi yake ya kila siku, na masikini anayetumia pesa nyingi tena zaidi ya tajiri katika matumizi yake, nani yupo makini na maisha?
Yaonekana wewe hujui kile unajosema hata kidogo.Mjinga gani anayejionyesha ana vyumba 40 vya kukodisha lakini mapato yake ni ya chini kuliko yule mwenye vyumba 10? Istoshe ,yule mwenye vyumba vingi na mapato ya chini ana watoto wengi mno kuliko yule mwenye mapato zaidi - huu ndio ujinga unasema ni busara? Wewe hujui kabisa tofauti ya GDP na ukusanyaji mzuri wa kodi.
 
15bn$

Target this year ni 17bn$

Next year ni 19bn$

Mind you Tanzanias Total budget ni 12bn$
hongereni lakini kwa faida ya wengi humu unaweza kutuambia bajeti yenu imetekelezeka kwa asilimia ngapi???? maana isije ikawa bajeti ya kwenye makaratasi tu
 
Yaonekana wewe hujui kile unajosema hata kidogo.Mjinga gani anayejionyesha ana vyumba 40 vya kukodisha lakini mapato yake ni ya chini kuliko yule mwenye vyumba 10? Istoshe ,yule mwenye vyumba vingi na mapato ya chini ana watoto wengi mno kuliko yule mwenye mapato zaidi - huu ndio ujinga unasema ni busara? Wewe hujui kabisa tofauti ya GDP na ukusanyaji mzuri wa kodi.
je bajeti yenu imetekelezeka kwa % ngapi??? tusaidie tusiofaham
 
Yaonekana wewe hujui kile unajosema hata kidogo.Mjinga gani anayejionyesha ana vyumba 40 vya kukodisha lakini mapato yake ni ya chini kuliko yule mwenye vyumba 10? Istoshe ,yule mwenye vyumba vingi na mapato ya chini ana watoto wengi mno kuliko yule mwenye mapato zaidi - huu ndio ujinga unasema ni busara? Wewe hujui kabisa tofauti ya GDP na ukusanyaji mzuri wa kodi.
Ninasoma hili jibu lako, nimerudia mara nyingi lakini sijakuelewa kabisa, sijui unataka kuzungumza nini hapa. Bajeti ya taifa inaonyesha projection ya matumizi, kwamba mwaka huu Kenya inategemea kutumia pesa nyingi kuliko Nigeria, sasa mfano wako wa mapato ya vyumba unakujaje hapa?

Nyinyi mnaishangaa Nigeria kupanga kutumia pesa kidogo kuliko Kenya, kwamba Kenya yenye uchumi mdogo imepanga kutumia pesa nyingi kuliko Nigeria yenye uchumi mkubwa, tena pesa nyingi zinatumika kulipia mishahara sio miradi ya maendeleo, tena Kenya hiyohiyo inayopanga kutumia pesa nyingi kwa kulipia mishahara deni lake ni 54%, wakati Nigeria yenye uchumi mkubwa na deni la 18%, Bado inajitahidi kubana matumizi kwa kupanga bajeti ndogo zaidi, pamoja na kwamba inawafanyakazi wengi zaidi ya mara nne ya idadi ya wafanyakazi wa Kenya wanaolipwa mishahara. There must be something wrong in Kenya, very difficult to understand this scenario
 
I believe we are here to talk the good and the bad. If the govt manages debt well then we will be o.k. Tanzania hawatawahi fikia Kenya. Already budget yetu ni double yao na pia ni kubwa kushinda ya Nigeria. If the money is spent well I don't see why we should not be an industrialised country soon.
Here is the article about KE's fiscal deficit

IMF says Kenya’s failure to narrow fiscal deficit may push up its international borrowing costs
hawatawahi??? hivi 1990 kuna mtu alitegemea china itamzidi uchumi Britain or US???? acha dharau mkuu. hata libya walikua top of Africa at some point ila leo hii wako wapi???
 
Ninasoma hili jibu lako, nimerudia mara nyingi lakini sijakuelewa kabisa, sijui unataka kuzungumza nini hapa. Bajeti ya taifa inaonyesha projection ya matumizi, kwamba mwaka huu Kenya inategemea kutumia pesa nyingi kuliko Nigeria, sasa mfano wako wa mapato ya vyumba unakujaje hapa?

Nyinyi mnaishangaa Nigeria kupanga kutumia pesa kidogo kuliko Kenya, kwamba Kenya yenye uchumi mdogo imepanga kutumia pesa nyingi kuliko Nigeria yenye uchumi mkubwa, tena pesa nyingi zinatumika kulipia mishahara sio miradi ya maendeleo, tena Kenya hiyohiyo inayopanga kutumia pesa nyingi kwa kulipia mishahara deni lake ni 54%, wakati Nigeria yenye uchumi mkubwa na deni la 18%, Bado inajitahidi kubana matumizi kwa kupanga bajeti ndogo zaidi, pamoja na kwamba inawafanyakazi wengi zaidi ya mara nne ya idadi ya wafanyakazi wa Kenya wanaolipwa mishahara. There must be something wrong in Kenya, very difficult to understand this scenario
Wewe sema tu huna uelewa kabisa wa mambo ya uchumi,kodi na bajeti .Mifano yako ati Nigeria inajitahidi kubana matumizi wakati raia wao wanakaribia kuwa milioni 200 na kodi zao mbovu ...pale una upotovu mkubwa aise.Siwezi bishana na wewe tena.
 
By the way hizo mabilioni za mafuta Nigeria huwa zinaenda wapi mpaka wako na budget ndogo kushinda yetu? These guys are so corrupt. I guess hiyo pesa yote wameweka kwa mfuko. Hio corruption yao imeshinda yetu na mbali.Very sad
Amazing that oil exports fund 67% of their budget yet you get that type of low budget for 180m souls.Alafu watu wengine hapa wanasifu Nigeria ati bajeti yao ndogo inaonyesha "wise spending and budgeting "
 
Wewe sema tu huna uelewa kabisa wa mambo ya uchumi,kodi na bajeti .Mifano yako ati Nigeria inajitahidi kubana matumizi wakati raia wao wanakaribia kuwa milioni 200 na kodi zao mbovu ...pale una upotovu mkubwa aise.Siwezi bishana na wewe tena.
Nyie wakenya acheni kupotosha mambo, tulinganishe ukusanyaji wa mapato kati ya Nigeria na Kenya, nani anakusanya mapato mengi zaidi kwa mwaka, na sio kwamba kila pesa inayokusanywa ni lazima itumike yote, nchi fukara kama hizi zetu ndiyo zinatumia mapato yake yote kwa matumizi na mwisho wa mwaka bado wanakuwa na madeni, nchi kama Botswana huwa inakusanya zaidi ya inachotumia na pesa inayobaki inabaki kuwa hazina ya taifa, nchi za kiarabu kama Qatar zimewekeza pesa nyingi nje kutokana na surplus

Ninachokiona hapa ni wewe kuhusisha moja kwa moja kwamba, chote kinachokusanywa lazima kitumike, kwa hiyo nchi inayotumia pesa nyingi katika bajeti yake, tena kwenye kulipa mishahara, sio kuwekeza ina maana hayo ndiyo mapato yake yote, hivi wewe umesoma uchumi wapi?, ukinijulisha chuo ulichosoma nitakushukuru sana.
 
Back
Top Bottom