pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Eti igbos nyoosha kiberians! You sound like a std. five slay queen on Instagram! Si kila comment unaleta ubishi! Naongea reality ya watu wa Afrika Mashariki! Unadhani migbo uliyemtaja anajua wewe ni mrundi? Hehe! Kwake wewe ni mEast Afrika tu ama labda hata mkenya! Saa zingine achana na keyboard tembea nje huko kuna hewa safi na fikra za watu wenye akili timamu. Au Bunjumbura si salama tena kutoka nje?Nyie wakenya ndio mpo kama Nigerian sasa amewapa za uso pamoja na ujuaji wenu arrogance and emptiness mmelamba za uso ndio mnakumbuka watz hahaha igbos nyoosha hao kiberians