Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Zaidi ya kuwa kichaka cha viongozi wabovu Afrika kulindana ina msaada gani? Toka OAU mpaka AU hakuna lolote lenye ajenda ya kuwasaidia waafrika kufikia demokrasi ya kweli na kuwadhibiti viongozi wanaowadhalilisha na kuwaibia mali zao. Ndo maana hatuna maendeleo maana agenda ni kulinda individuals and not africans. Siku ya kufa na kuzikwa kwake lazima ntakunywa bia ya bariiidi kusheherekea kifo hicho