Kenya yaongoza EAC kijeshi ikifuatwa na Uganda

vijana wa shabab wanazidi kupokea kichapo kitakatifu
FB_IMG_1495185495126.jpg
FB_IMG_1495188309478.jpg
 
Hizi ni propaganda tu! Uwezo wa jeshi ni siri ya ndani. Taarifa nyingi za jeshi la Tanzania zimefichwa from those waliocompile hiyo list... Mkitaka kujua uwezo wa kijeshi wa nchi husika, piganeni nayo...
....Unakumbuka ile " law of use and missuse of organ" wakati tukiwa sekondari? Kenya daily wako bize na wale jamaa
 
Jidanganye Na kujifurahisha Tz tupo juu sana Afrika Na Duniani hasa Nchi kavu man to man hongera TZ
 
Haya sio maoni ya kila mtu, ni tathmini ya uwezo wa mejeshi ya dunia. Japo sina cha kusheherekea hapo maana Afrika tupo nyuma. Marekani anaweza kutumia ndege moja ya kijeshi kuitesa Tanzania hadi muombe poo. Ndege moja ya kisasa ambayo ina uwezo wa kuzunguka kwenye anga yenu ikipiga mabomu na kugeuza ili ikaongeze mafuta, ina uwezo wa kumaliza ndege zenu zote za kivita na kukwepa mizinga na kupiga maeneo yote muhimu ilhali Wamarekani nyumbani hata hawatakua na habari kuna vita baina ya Marekani na Tanzania, wengi hata hawatajua Tanzania ni aina ya chakula au nini, wataendelea kula burger zao pale kwao.
Naona umefilisika kimawazo, tafakari hiki ulichoandika hapa na mada yako hapo juu vinahusianaje kisha jidharau mwenyewe kwa kudogodesha uwezo wako wa kifikra.
 
jeshi letu si jeshi la kutegemea kuandikws kwenye makaratasi sisi ni wazee wa action ...hatutaki kuwekwa kwenye magazeti
 
Siku tukiingia Kenya tutabaka wanawake wa kdf hata al shabbab waliwabaka baba zenu wa kdf baada ya kuwateka picha zikazuiwa mitandaoni kuficha aibu yenu

Baada ya kuvuta Bangi ya Tarime tafadhali Kunywa maziwa iliotiwa chumvi ama peana simu usipost chochote coz i think your level of stupidity deserves a medal.dude...unakulaga ujinga ama nini?
 
Ukweli ukiandikwa Tanzania wako busy wanatokwa na jasho, ati kwa strategy wanatushinda lakini kila siku nikuona namba,we lead the leaders
 
Hii ni report ya 2014 inaonyesha Tz ime acquire new 30 tanks type 59g in 2011/13 ..utakuja ni upumbavu kufikiri Tz ilikua hainan tanks kabla ya hapo ...na hii report inaonyesha vtu tulivyo agiza tu in last decade ya 2004 to 2014

The Tanzania People's Defence Force (TPDF) has taken delivery of a range of new hardware from China, including Type 63A amphibious tanks, A100 multiple rocket launchers and Type 07PA self-propelled mortars.

According to IHS Janes Defence Weekly, the new equipment, which was quietly acquired from China over the past few years, was unveiled at the 50th Tanzanian independence anniversary celebrations which were held at the Uhuru Stadium in Dar es Salaam on April 25.

Photographs reveal that the TPDF now operates the Type 63A, an amphibious tank armed with a 105 mm rifled gun. Built out of welded steel armour, the Type 63A weighs 22 tonnes and carries a crew of four comprising the commander, the driver, the gunner and the loader. Maximum speed is 75 km/h on land and 28 km/h on water. Its maximum operational ranges are 400 km on land and 120 km on water.

The A100 multiple rocket system is a 300 mm rocket launcher with a range of 40 km and 120 km. The warhead can contain 500 High Explosive Fragmentation, Anti-Armour/Personnel sub-munitions. The system is mounted on a TAS5380 8x8 wheeled truck chassis-based launch vehicle. It can carry up to 10 launcher tubes mounted on the chassis and arranged in two blocks of tubes with four on top and six at the bottom. The vehicle has a maximum speed of 60km/h and top range of 650km. Tanzania apparently acquired the system in 2009.

According to Janes, Tanzania is believed to be the first operator of the Type 07PA 120 mm mortar, which can be used as a mortar or howitzer to deliver direct or indirect fire. It uses rifled rounds and has a maximum fire range of 9.5 km. The system, which is operated by a crew of four which includes the commander, driver, gunner and loader, carries 30 rounds of ammunition.
READ MORE
EUCAP Nestor provides training and equipment to Seychelles, Djibouti and Tanzania
Tanzania People’s Defence Force
Tanzanian Air Force takes delivery of 14 new J-7G fighter jets
Tanzanian military receives Indian vehicles

Tanzania also operates the FB-6A mobile short-range air defence system which uses a Humvee copy (Shenyang SFQ2040) each with eight FN-6 surface-to-air missiles with a range of 5.5 km. A radar is carried by a separate vehicle. Other weapons revealed to be in service with Tanzania include WZ 551 armoured personnel carriers fitted with 12.7 and 7.62 mm machineguns in an enclosed turret.

Tanzanian defence minister Shamsi Nahodha said the military acquisition programme is in line with the country's desire to secure its newly-found petroleum resources and enhance its capacity to defend its maritime borders. The TPDF has over the years strengthened its defence relations with the Chinese People's Liberation Army (PLA) with the PLA running various training programmes to improve the operational capabilities of the naval, aerial and land forces.

The healthy nature of the diplomatic relationship between the two countries was emphasised by Chinese President Xi Jinping who visited Tanzania on his first visit to Africa. The Chinese premier signed 16 assorted trade and development deals including the construction of a deep-water port at the port of Bagamoyo, which military analysts say can be used a re-supply base as the resurgent Chinese Navy expands global operations.

According to the Stockholm International Peace Research Institute (SIPRI), Tanzania has taken delivery of a variety of Chinese equipment over the last decade including two Y-8 transport aircraft in 2003, four ZFB-05 armoured personnel carriers in 2006/7, 30 Type-59G tanks in 2011/13, 14 F-7MG fighters in 2009/12, six K-8 jet trainers in 2011/12 and ten WZ-551 APCS in 2011/12.

Tanzania also acquired five Casspirs from South Africa in 2009, four Bell 412s from Italy in 2005/6 and a Shorts 330 transport in 2006, according to SIPRI data.

http://www.defenceweb.co.za/index.php?option=com_content
Kiasi hii imesema kitu! Ongezea na zile warships Msoga n Mwitongo.

Jeshi ni zaidi ya story tunazosimuliana vijiweni. Weredi ktk line of duty ni tofauti na kile kalamu inachokiandika.

My Kenyan brothers we wish u positives as we always want Africa to be.
I love Africa, I love Tz.
 
Langu ni Siku Moja Muijaribu Kuingilia Kenya Kama Nchi ndio mtatambua....tutaweka ubishi hapa but at the end of the day

Kenya iko hapa ingieni na hyo mijeshi yenu ndio mtakiona .....Jiulizeni kwanini Uganda imekuwa Somalia Kwa mda mkubwa kuliko Kenya Lakini Punde tu Kenya ilipo Kanyaga Somalia Story za Uganda zikatupiliwa mbali tukawa number moja kwa hao magaidi...

Kenya ina 3800 troops in somalia controlling Southern SOMALIA

Uganda ina 6700 troops Mogadishu tu....
Nyie mnaingiliwa na Ethiopia juzi juzi hapa, Ug wanawachezesha makida makida kule, unadhani hao wanawachezea kwanini, wanawajua hamna madhara. Sasa usiombee jwtz iwaingilie, kuwaingilia tu pasipo sababu haiwezekani, there's nothing to gain huko. Labda mrukwe na akili muanze pigana wenyewe.
 
Sio wakenya tu ndio wameshindwa na Alshbb, majeshi kadhaa yenye nguvu yanakabiliana nao huko, ikiwemo America, lakn yameshindwa kuwamaliza. Do u understand why?

Kenya, tangu kuingia vita Sonalia imewapoteza karibu majeshi 300. Zingatia ya kwamba ingawaje Kenya ina majeshi wachache huko ukilinganisha na nchi kama Uganda, Burundi na sijui waEthiopia ni wangapi, lakn Kenya ndilo linadhibiti eneo kubwa zaidi huko Somalia.....
.and most of those areas are quite stable security- wise.

Hao magaidi kuweza kuwashambulia na kuwaua makeshi haimanishi ya kwamba jeshi hilo ni dhaifu. Mnafaa kuzingatia mbinu za hawa magaidi wanatumia kukabiliana na wanajeshi. Ni mbinu zisizo za kawaida kabisa. Kwa mfano mwanamke anakaa innocent kumbe amejifunga vilipuzi ndani ya buibui anayovaa.

Tangu Barack Obama kuingia madarakani 2008 hadi alipowaondoa majeshi wa Amerikani Iraq na Afghanistan in 2012, wanajeshi zaidi 2500 tayari walikuwa wameuawa kipindi hicho. Na ukumbuke nimewaelezea ya kwamba tangu 2010 hadi wa leo, majeshi 300 wa Kenya wameuawa Somalia.
Je, hiyo ni kumanisha majeshi ya Amerika ni dhaifu ukilinganisha na hao maghaidi? Ama je, majeshj ya Kenya yamezidi ya Amerika ujuzi kukabiliana na ughaidi?
Unapozungumzia USA somalia hajashindwa bali alipoteza askari wengi.USA somalia kilimpeleka kumuua Aidid na alifanikiwa.
Unapozungumzia Kuhusu USA kushindwa Iraq na Afghanistan unatumbukia ktk geopolitical issues ngumu sana.
Maana Iraq kuna mkono wa Iran lazma USA ashindwe.Afghanistan kuna mkono wa masocialist China lazma US akae.Maana huko kuna interest zinagombaniwa na hayo mataifa mawili.
Unapotolea mfano wa Kenya usifananishe na USA unapotea.
Maana lengo la USA kuja Somalia sio kuimaliza alshabab km ilivyo lengo la KDF.
 
Ukweli ukiandikwa Tanzania wako busy wanatokwa na jasho, ati kwa strategy wanatushinda lakini kila siku nikuona namba,we lead the leaders
Hizo ni number tu ila in reality ni tofauti.
India imekuwa ranked ya nne dunian kwa jeshi lenye nguvu lakini Pakistan ilokuwa ranked ya 30+ inaitwanga India kila leo huko Kashmir.
USA ilokua ranked ya kwanza kwa jeshi imara duniani kila anapotia mguu mchina akiweka mguu yeye anachapika.
Mifano ipo mingi ila hiyo inakutosha kujiuliza inakuaje.
 
Africa tuwe na umoja, tuko chini kwenye masuala ya kijeshi, tupo chini sana, haifai hata sisi kwa sisi kuonyeshana nani mbabe, vita hakuna lakini wananchi na mifugo wanakufa kwa njaa sasa vita ikitokea itakuwaje?

Hayo magari, makombora, ndege, risasi, mabomu na bunduki ni kodi za wananchi masikini, tuna pesa kiasi gani kuingia kwenye vita?

wenzenu waliacha huu ujinga in 1940's wamebaki kutuuzia sisi silaha tumalizane.
 
Taarifa hio feki imeandaliwa na mkoloni ili kuleta mkanganyiko Afrika na ni ya uongo mtupu Kwani Habari za kijeshi ni siri .
Ndio hao waliogawa Afrika wakatuachia mgogoro kama wa Kenya na uganda ambao wote walikuwa chini ya muingereza.

 
Back
Top Bottom