BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,720
- 6,528
Makamba ndo waziri wa nishati unategemea niniKenya vyanzo vyao vya umeme ni vichache sana ukilinganisha na vyanzo vya umeme vya Tanzania. Kenya wana matumizi makubwa sana kutokana pia na kuwa na Viwanda vingi sana, kwa EAC wao ndio wana matumizi makubwa wakifuatiwa na Tanzania.
Ila Kenya huwa hawakumbwi na migao ya mara kwa mara ingawa piia huwa inawatokea ila sio kwa kiwango cha Tanzania, Tanzania ni hii imekuwa ni utamaduni wetu kuwa na migao isio isha.
Kuna possibilities hii migao saa zingin nu hujuma za kutafuta tebda za dharura za kupiga oesa kama ilivyo tokeaga kwa Richimond. Sitaki kuamini kwamba ni migao real.
Tanzania tuna migao ya Umeme too much, nashindwa kuelewa huu utitiri wa mabwawa ya kuzalisha umeme yana msaada gani?Gesi ina msaada gani? Kama tunacjimba wenyewe na still tumeshindwa kuitumia ina maana gani?
Na kwa awamu hii na utawala huu wa anaupiga mwingi lazima tunyweshe maji kwa kutumia beseni.
Daah yaan hapo tuu ndo wanapotumaliza yaan maana daah kila sehem mgahoKenya vyanzo vyao vya umeme ni vichache sana ukilinganisha na vyanzo vya umeme vya Tanzania. Kenya wana matumizi makubwa sana kutokana pia na kuwa na Viwanda vingi sana, kwa EAC wao ndio wana matumizi makubwa wakifuatiwa na Tanzania.
Ila Kenya huwa hawakumbwi na migao ya mara kwa mara ingawa piia huwa inawatokea ila sio kwa kiwango cha Tanzania, Tanzania ni hii imekuwa ni utamaduni wetu kuwa na migao isio isha.
Kuna possibilities hii migao saa zingin nu hujuma za kutafuta tebda za dharura za kupiga oesa kama ilivyo tokeaga kwa Richimond. Sitaki kuamini kwamba ni migao real.
Tanzania tuna migao ya Umeme too much, nashindwa kuelewa huu utitiri wa mabwawa ya kuzalisha umeme yana msaada gani?Gesi ina msaada gani? Kama tunacjimba wenyewe na still tumeshindwa kuitumia ina maana gani?
Na kwa awamu hii na utawala huu wa anaupiga mwingi lazima tunyweshe maji kwa kutumia beseni.
Mpaka tunavoongea hapa umeme ushakata kitamboKenya vyanzo vyao vya umeme ni vichache sana ukilinganisha na vyanzo vya umeme vya Tanzania. Kenya wana matumizi makubwa sana kutokana pia na kuwa na Viwanda vingi sana, kwa EAC wao ndio wana matumizi makubwa wakifuatiwa na Tanzania.
Ila Kenya huwa hawakumbwi na migao ya mara kwa mara ingawa piia huwa inawatokea ila sio kwa kiwango cha Tanzania, Tanzania ni hii imekuwa ni utamaduni wetu kuwa na migao isio isha.
Kuna possibilities hii migao saa zingin nu hujuma za kutafuta tebda za dharura za kupiga oesa kama ilivyo tokeaga kwa Richimond. Sitaki kuamini kwamba ni migao real.
Tanzania tuna migao ya Umeme too much, nashindwa kuelewa huu utitiri wa mabwawa ya kuzalisha umeme yana msaada gani?Gesi ina msaada gani? Kama tunacjimba wenyewe na still tumeshindwa kuitumia ina maana gani?
Na kwa awamu hii na utawala huu wa anaupiga mwingi lazima tunyweshe maji kwa kutumia beseni.
Tuna tatizo la Uongozi nchi hii, tuna Watawala hatuna viongoziTafadhali Hakuna mgao wa umeme kuna upungufu japokua mabwawa yamejaa na gesi ipo ya kutosha
Acheni uzushi bana, mgao gani mnaouongelea? Mbona nimesikia TANESCO wamesema hakutakuwepo na mgao ila kutakuwa na ratiba ya upatikanaji wa umeme?Mpaka sasa hakuna sababu za msingi iliyotolewa kuhusu huu mgao nazani tunarudi kule kule kwenye richmond
Wana Taasisi Imara ya Ujasusi wa Kiuchumi.....Kenya vyanzo vyao vya umeme ni vichache sana ukilinganisha na vyanzo vya umeme vya Tanzania. Kenya wana matumizi makubwa sana kutokana pia na kuwa na Viwanda vingi sana, kwa EAC wao ndio wana matumizi makubwa wakifuatiwa na Tanzania.
Ila Kenya huwa hawakumbwi na migao ya mara kwa mara ingawa piia huwa inawatokea ila sio kwa kiwango cha Tanzania, Tanzania ni hii imekuwa ni utamaduni wetu kuwa na migao isio isha.
Kuna possibilities hii migao saa zingin nu hujuma za kutafuta tebda za dharura za kupiga oesa kama ilivyo tokeaga kwa Richimond. Sitaki kuamini kwamba ni migao real.
Tanzania tuna migao ya Umeme too much, nashindwa kuelewa huu utitiri wa mabwawa ya kuzalisha umeme yana msaada gani?Gesi ina msaada gani? Kama tunacjimba wenyewe na still tumeshindwa kuitumia ina maana gani?
Na kwa awamu hii na utawala huu wa anaupiga mwingi lazima tunyweshe maji kwa kutumia beseni.
Si uhamie Kenya tu uepukane na adha hiyoKenya vyanzo vyao vya umeme ni vichache sana ukilinganisha na vyanzo vya umeme vya Tanzania. Kenya wana matumizi makubwa sana kutokana pia na kuwa na Viwanda vingi sana, kwa EAC wao ndio wana matumizi makubwa wakifuatiwa na Tanzania.
Ila Kenya huwa hawakumbwi na migao ya mara kwa mara ingawa piia huwa inawatokea ila sio kwa kiwango cha Tanzania, Tanzania ni hii imekuwa ni utamaduni wetu kuwa na migao isio isha.
Kuna possibilities hii migao saa zingin nu hujuma za kutafuta tebda za dharura za kupiga oesa kama ilivyo tokeaga kwa Richimond. Sitaki kuamini kwamba ni migao real.
Tanzania tuna migao ya Umeme too much, nashindwa kuelewa huu utitiri wa mabwawa ya kuzalisha umeme yana msaada gani?Gesi ina msaada gani? Kama tunacjimba wenyewe na still tumeshindwa kuitumia ina maana gani?
Na kwa awamu hii na utawala huu wa anaupiga mwingi lazima tunyweshe maji kwa kutumia beseni.
Makamba ni waziri wa Nishati?Makamba ndo waziri wa nishati unategemea nini