tayari naiona hoja muhimu ya mabadiliko ya kikatiba ambayo inatoa flexibility hasa pale ambapo upepo unakuwa sio, umuhimu wa kutoa mwanya kwa vyama kuungana uko wazi. shida ni ukomavu wa vyama, kasoro moja kubwa ya vyama vya Kenya ni kuundwa kwake ambapo chama kinaundwa muda mfupi kabla ya kampeni za uchguzi na inakubalika, haijalishi chama hicho kimekomaa au kimekuwepo kwenye harakati kwa muda gani, muhimu ni kuwa anaekiongoza ana washabiki kiasi gani. So ukiweza kujikusanyiwa wafuasi wengi unajiweka kwenye nafasi nuri ya kuitwa kwenye big aliances, hata kama hutashinda uchaguzi, ila nafasi yako ya uwaziri au unaibu huwezi ikosa kirahisi, kwa kutumia kura zako.