Profesa
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 905
- 624
Hawa ni wanachama wa CHADEMA, TLP, NCCR mageuzi, DP, NLD n.k.? Hapana, Msiba? Hapana! Hapa ni Kenya, vyama vya siasa na wanachama wao wameungana na wanaunda aliance. tatizo ni nini hapa kwetu? Kama si ulafi, uroho na ubinafsi uliopindukia wa viongozi wasiotaka mabadiliko ya nchi bali mabadiliko yao? Kila mtu anataka kuwa Raisi anaenda kufanya nini kule? hapa tunataka chama chenye sera nzuri ili hata wakibadili raisi bado sera zinatupeleka tunapotaka. Cheki hapa, ni live kwa sasa tunapoongea. Wanasiasa Tanzania mnajifunza nini hapa?