kennedy0000
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 4,638
- 4,277
Even Zambia currency iko juu kuliko ya ZT lakini wanahemea matakono kama nyie. Tanzania devalues its currency my friend😂😂😂 We are doing the opposite😂😂😂
Zambia ata iko na GDP per Capita kubwa kuliko Tanzania.
Kumaanisha wananchi wa Zambia wana pesa kuliko wa Tanzania.
Tanzania is the shame of SADC.


Hivi kichwa yako iko sawa?? Umesha sema GDP ya TZ haifiki $40B. So what do you want to prove to me at this juncture???