Moshe Dayan
JF-Expert Member
- Feb 10, 2008
- 815
- 698
Wewe unajua unachosema? Alshabaab is not a conventional army. JWTZ hawana technologia ya kupigana ukitafuta the possibilty of underground IEDs (Improvised-Explosive-Devices) katika barabara. Najua that is greek for JWTZ. Kwa hivyo tusijiweke hapa na terminiology ambazo huzifahamu vizuri. Na vita vya kagera/Idi Amin havikuwa na IED na rocket propelled grenades. Kwa hivyo Kenya has fought a third generational war ambayo Tanzania/JWTZ hawana experience making the KDF an advanced, intelligent, and capable army ready to withstand any type of attack whether unconventional of not.......
Mfano mwema Ethiopia/ENDF waliingia 2006 na wakakiona cha mtema-kuni kutoka ICU. Intel base inatoka from the local population not drones. Otherwise the kenyan operation has been hailed as the most successive in combating and wiping Alshabaab. ENDF waliingia na kufa kama vifaranga. Waganda walielekea mogadishu kutoa maafisa wa kijeshi/500 kama kafara. In actual sense the ENDF na UPDF operations could have protracted the war to 2016 jambo ambalo Kenya haikuwa tayari kushuhudia.
Kenya isingeingilia kati na Operesheni linda nchi...............vita vya Alshabaab somalia zingeingilia a protracted war zone ambao ingeendelea miaka na miaka na kuharibu mipango ya nchi
Am neither a politician nor ambitious to be, ungekua na military knowledge ya darasani sio kwny internet, ungeelewa naongea nn.., cant waste anymore energy, by the way, there are always kenyan cadets being trained at tanzania military academy, can u mention a rough figure of how many tanzanian cadets are/were trained at your officers academy??
I told u i dont like politics/cians, just facts.
Bona petit!