Kenya naval ships shell and bomb Kismayo

Wewe unajua unachosema? Alshabaab is not a conventional army. JWTZ hawana technologia ya kupigana ukitafuta the possibilty of underground IEDs (Improvised-Explosive-Devices) katika barabara. Najua that is greek for JWTZ. Kwa hivyo tusijiweke hapa na terminiology ambazo huzifahamu vizuri. Na vita vya kagera/Idi Amin havikuwa na IED na rocket propelled grenades. Kwa hivyo Kenya has fought a third generational war ambayo Tanzania/JWTZ hawana experience making the KDF an advanced, intelligent, and capable army ready to withstand any type of attack whether unconventional of not.......

Mfano mwema Ethiopia/ENDF waliingia 2006 na wakakiona cha mtema-kuni kutoka ICU. Intel base inatoka from the local population not drones. Otherwise the kenyan operation has been hailed as the most successive in combating and wiping Alshabaab. ENDF waliingia na kufa kama vifaranga. Waganda walielekea mogadishu kutoa maafisa wa kijeshi/500 kama kafara. In actual sense the ENDF na UPDF operations could have protracted the war to 2016 jambo ambalo Kenya haikuwa tayari kushuhudia.

Kenya isingeingilia kati na Operesheni linda nchi...............vita vya Alshabaab somalia zingeingilia a protracted war zone ambao ingeendelea miaka na miaka na kuharibu mipango ya nchi


Am neither a politician nor ambitious to be, ungekua na military knowledge ya darasani sio kwny internet, ungeelewa naongea nn.., cant waste anymore energy, by the way, there are always kenyan cadets being trained at tanzania military academy, can u mention a rough figure of how many tanzanian cadets are/were trained at your officers academy??

I told u i dont like politics/cians, just facts.

Bona petit!
 
Am neither a politician nor ambitious to be, ungekua na military knowledge ya darasani sio kwny internet, ungeelewa naongea nn.., cant waste anymore energy, by the way, there are always kenyan cadets being trained at tanzania military academy, can u mention a rough figure of how many tanzanian cadets are/were trained at your officers academy??

I told u i dont like politics/cians, just facts.

Bona petit!

about kenyan cadets being trained in tanzania,i read somewhere it's a joint military training btw east african countries,even kenya train tz n ug forces and the other countries do the same.i cn't rem the site bt al post it when i find it.
 
On the contrary JokaKuu, kulikuwa na UNSC/charter ya Umoja-wa-Mataifa kuzuia mataifa yanayopakana na mataifa yenye vita kuingilia shughuli za kuleta amani, ndiyo ilizuia kenya kushindwa kupeleka majeshi hapo awali. Ndio unakuta kama sababu kuu Tanzania walichaguliwa kupeleka majeshi sierra leone na liberia na sio Nigeria kwa lengo la kuweka amani/Peacekeeping/ huku pacification ikifanywa na polisi/jeshi la nchi hiyo. Tuseme utekaji wa nchi jirani unaruhusiwa kama kuna kuchokozwa wa aina yeyote isiyo ya kawaida kutoka nchi jirani.

KDF itakapomaliza shughuli hapo Somalia, believe me Nigeria na Sierra leone wanakuja Somalia kureinforce usalama ili serikali yenye mandate baada ya TFG iliyosukwa in coordination na kenya/Uganda kuisha iweze kuendesha shughuli za kiserikali bila tatizo. Utakubaliana nami kuwa operesheni ya kenya (OLN) ndio imemaliza equation ya the threat matrix ya Alshabaab na sio utani. Waganda/UPDF waliingia kichwa-kichwa bila kuokota intelligence ya kutosha huku wakipoteza majeshi wao zaidi ya mia tano. Jeshi la Ethiopia/ENDF, baada ya kuingia kichwa-kichwa katika utekaji wao wa kwanza na kupoteza majeshi zaidi ya 70, hawakupata somo. Waliingia mara ya pili na ile agression yao ya kawaida na kupotezamajeshi.

Sitakubaliana nawe unaposema what kenya has done is little-to-late. Maana kama tunapakana na somalia, halafu majeshi ya Ethiopia na Uganda wanafanya shughuli za kijeshi kazi "mchanganyiko maalum" bila mpango, italeta magaidi kuingia katika mpaka ya kenya. Kwa hivyo shughuli ya kenya ina maana sana. Pia usisahau Tanzania watafaidika na hii shughuli ya OLN, maana tuliwaachia marekani na Uingereza na hawakuweza lolote. Magaidi watapungua kwa kiasi kikubwa na kama mradi huo wa LAPSSETT utakamilika, Itachangia pakubwa katika uchumi ya EA.

Kabaridi,

..the problem ni kuwa for decades mmejificha nyuma ya hizo resolutions za UN.

..what UN resolution allowed Ethiopia to send her army into Somalia??

..kwasababu mlikuwa idle mkitegemea wengine wa-sacrifice, halafu hali ikiwa nzuri wa-Kenya muende kufungua supermarkets, Somalia has disintegrated into chaos and anarchy.

..mngechukua hatua mapema hali isingekuwa mbaya and complicated kiasi kwamba Al-Shabaab wana-attack mpaka capital city za Kenya na Uganda.

NB:

..Kenya mmekuwa kama South Africans kwenye SADC, kila mtu anajua kwamba South Africa hawezi kupeleka askari wake popote pale for combat.
 
Kabaridi you're wasting your time...there are people here who are convinced that whatever Kenya does, it I wrong. Everything Kenyan is wrong...you can't win. If Kenya had done what they are saying now (send in troops in contravention of UN resolutions) they would be here now condemning Kenya for it...I can guarantee it.
 
Last edited by a moderator:
Am neither a politician nor ambitious to be, ungekua na military knowledge ya darasani sio kwny internet, ungeelewa naongea nn.., cant waste anymore energy, by the way, there are always kenyan cadets being trained at tanzania military academy, can u mention a rough figure of how many tanzanian cadets are/were trained at your officers academy??

I told u i dont like politics/cians, just facts.

Bona petit!


Hey, Moshe Dayan. One soldier to another, I reckon you and I can cut through the Bulsh@t being slang around this Forum by all manner of civilian-types. Know your adversary, know yourself even better - basic mantra in boot-camp, and you damn well know it. I reckon the job of Uniforms on these blogs, on matters Military & Intelligence, is to weigh in every so often, and let the debate flow - probably then the conversation may acquire balance on these matters. Although on JF this is easier said then done, by gawd!!

By the way, just finished 'school' with a bunch of Uniforms from JWTZ, man! And the JWTZ Alumini in all our Officer-Schools literally runs into the hundreds already - kweli!! This sort of "School exchanges'' are very healthy, ama?
 
Am neither a politician nor ambitious to be, ungekua na military knowledge ya darasani sio kwny internet, ungeelewa naongea nn.., cant waste anymore energy, by the way, there are always kenyan cadets being trained at tanzania military academy, can u mention a rough figure of how many tanzanian cadets are/were trained at your officers academy??

I told u i dont like politics/cians, just facts.

Bona petit!

Wewe unapenda kukoroga facts sana, unaongea kuhusu Assymetrical warfare. Wakati ENDF mwaka 2006 walithubutu ASSYMETRICAL na Alshabaab, waliishia wapi? Unadhani unaweza deploy Assymetrical warfare na alshabaab? Unataka kunidanganya umeshaona IED/imporvised explosive devices katika darasa? Nenda mukaongezee katika syllabas darasani vile vitu nilivotaja katika post yangu ya hapo awali. Ikiwa unajihisi mwanajeshi kamili register kwenye hii site hapa tuone scope ya yako una fika level gani
 
Kabaridi,

..the problem ni kuwa for decades mmejificha nyuma ya hizo resolutions za UN.

..what UN resolution allowed Ethiopia to send her army into Somalia??

..kwasababu mlikuwa idle mkitegemea wengine wa-sacrifice, halafu hali ikiwa nzuri wa-Kenya muende kufungua supermarkets, Somalia has disintegrated into chaos and anarchy.

..mngechukua hatua mapema hali isingekuwa mbaya and complicated kiasi kwamba Al-Shabaab wana-attack mpaka capital city za Kenya na Uganda.

NB:

..Kenya mmekuwa kama South Africans kwenye SADC, kila mtu anajua kwamba South Africa hawezi kupeleka askari wake popote pale for combat.
JokaKuu..............Kwanza........... Kama nilivosema hapo awali, makosa likuwa ya Umoja wa mataifa. Yaani walikuwa wame declare nchi iliyosambaratika ya Somalia kama economic basket case. Na wao umoja wa mataifa wakasalia katika kuleta misaada wajir na kupeleka Daadab. Hiyo ndio ilikuwa suluhisho kwao. Nao UN sasa wakaanza kushikanisha business-sensibilites katika uletaji wa misaada na madawa, NK(ilikuwa ni kama business setup).

Pili..............Nilivosema hapo awali kenya inajulikana kwa stance yake ya non-military approach kusuluhisha migogoro za nchi jirani. Nikubali tu niseme some small elements of "economic interests" attached to the KDF somalia operation ndio yaonekana kiini cha OLN...........otherwise tukizingatia hayo, basi operesheni had a two-fold puporse.

Tatu...............Kwetu sisi wakenya we have nothing to lose. Since 98 Embassy bombings despite multiple warnings of imminent terror attacks. So long as kuna economic interests za marekani na Ulaya nchini..................that makes kenyans a vulnerable/soft targets for Qaida na Shabaab. Ijapokuwa for AMISOM/Uganda, naona wao kutoka mwanzo hawakua na sababu mwafaka ya kuingia Somalia/ila pengine kuandikisha historia na pia kupachika influence yao katika siasa za Somalia/Mogadishu(bila kusahau Burundi and Djibouti).

Nne..........Ilipojulikana kuwa somalia ina madini muhimu kama uranium na Gesi kutoka explorations kwenye semi-autonomous states za Somaliland na Puntland, ndipo sasa International community wakaona matumaini kuwa somalia inaweza rekebiswa. Wakati huu katiba yao inachorwa upya na serikali inabuniwa baada ya mkutano wa ushirikiano na wabunge wa somalia kwa jumla(ikijumuisha semi-autonomus states zote).

Tano..............Kuhusu kujenga supermarkets, mungu atujalie.....tufikie tuone hiyo siku, ikifikia wakati amani itarudi tena Somalia hakuna msingi wakuzuia kujenga shopping malls na supermarkets. Naamini hata wale wadau wa biashara kutoka Tanzania watafurahia sana kuchukua nafasi hiyo nzuri.
 
JokaKuu..............Kwanza........... Kama nilivosema hapo awali, makosa likuwa ya Umoja wa mataifa. Yaani walikuwa wame declare nchi iliyosambaratika ya Somalia kama economic basket case. Na wao umoja wa mataifa wakasalia katika kuleta misaada wajir na kupeleka Daadab. Hiyo ndio ilikuwa suluhisho kwao. Nao UN sasa wakaanza kushikanisha business-sensibilites katika uletaji wa misaada na madawa, NK(ilikuwa ni kama business setup).

Pili..............Nilivosema hapo awali kenya inajulikana kwa stance yake ya non-military approach kusuluhisha migogoro za nchi jirani. Nikubali tu niseme some small elements of "economic interests" attached to the KDF somalia operation ndio yaonekana kiini cha OLN...........otherwise tukizingatia hayo, basi operesheni had a two-fold puporse.

Tatu...............Kwetu sisi wakenya we have nothing to lose. Since 98 Embassy bombings despite multiple warnings of imminent terror attacks. So long as kuna economic interests za marekani na Ulaya nchini..................that makes kenyans a vulnerable/soft targets for Qaida na Shabaab. Ijapokuwa for AMISOM/Uganda, naona wao kutoka mwanzo hawakua na sababu mwafaka ya kuingia Somalia/ila pengine kuandikisha historia na pia kupachika influence yao katika siasa za Somalia/Mogadishu(bila kusahau Burundi and Djibouti).

Nne..........Ilipojulikana kuwa somalia ina madini muhimu kama uranium na Gesi kutoka explorations kwenye semi-autonomous states za Somaliland na Puntland, ndipo sasa International community wakaona matumaini kuwa somalia inaweza rekebiswa. Wakati huu katiba yao inachorwa upya na serikali inabuniwa baada ya mkutano wa ushirikiano na wabunge wa somalia kwa jumla(ikijumuisha semi-autonomus states zote).

Tano..............Kuhusu kujenga supermarkets, mungu atujalie.....tufikie tuone hiyo siku, ikifikia wakati amani itarudi tena Somalia hakuna msingi wakuzuia kujenga shopping malls na supermarkets. Naamini hata wale wadau wa biashara kutoka Tanzania watafurahia sana kuchukua nafasi hiyo nzuri.

Kabaridi,

..badala ya kushughulika na "tumor" miaka ya 90 sasa mnahangaika kutibu "cancer."

..KDF wangeweza kumaliza matatizo hayo kirahisi zaidi in the 90s kuliko sasa hivi ambapo hali imekuwa mbaya sana.

..Ur goverment did not act in the best interest[economic & security] of the wananchi kwa kuacha Somalia ikavunjika vipande-vipande.
 
Kabaridi,

..badala ya kushughulika na "tumor" miaka ya 90 sasa mnahangaika kutibu "cancer."

..KDF wangeweza kumaliza matatizo hayo kirahisi zaidi in the 90s kuliko sasa hivi ambapo hali imekuwa mbaya sana.

..Ur goverment did not act in the best interest[economic & security] of the wananchi kwa kuacha Somalia ikavunjika vipande-vipande.

hahaha -------I give in. Lakini kumbuka UN charter ndio mambo yote. Katika nchi ambao UN iko na interests lazima usalimu amri. Kwa mfano tazama South Sudan na Heglig. Walipoamuriwa na UN waondoke, walifanya bila kelele.
 
Kabaridi,

..badala ya kushughulika na "tumor" miaka ya 90 sasa mnahangaika kutibu "cancer."

..KDF wangeweza kumaliza matatizo hayo kirahisi zaidi in the 90s kuliko sasa hivi ambapo hali imekuwa mbaya sana.

..Ur goverment did not act in the best interest[economic & security] of the wananchi kwa kuacha Somalia ikavunjika vipande-vipande.

JokaKuu - please please, feel entirely free to add something to the conversation, man.

It is not conceivable that all this exchange has not informed your understanding one way or the other since your first post at the beginning of this thread.

Renew your posts, avoid the mantra-like repeatitions, give us something new to debate about, eh?? Banaa, wee!!
 
Back
Top Bottom