Kenya healthcare score above regional average

Umemaliza mkuu, ata Tz iko above regional average. Hiyo habari ya NMG heading ni Kenya iko above regional average halafu hawajaitaja TZ kokote kwakua tupo juu
Wanajitekenya na kuchekea wenyewe. Hata ukipita pita Kenya na Tanzania kwenye masuala ya afya wala hawatutushi sana. In fact **** maeneo mengine tunaweza kuchukuwa kombe ukiangalia kwenye upatikanji wa bima kwa wanachi wa kipato cha chini au idadi ya watoto wanaolala kwenye vyandarua vinavyozuia mbu mpaka kwenye lishe tuko mbele.
 


Daily deaths per 1000 population Kenya 474, Tanzania 511


Alafu hapo pa death due to injuries, inakuaje Watanzania wengi wanakufa kwa injury kuliko Kenya na huku kenya tuna deal na alshabaab, cattle rustling deaths, mauaji ya kikabila...Roberry with violence, police extra judicial killings, politically instigated assassinations etc
 
Daily deaths per 1000 population Kenya 474, Tanzania 511


Alafu hapo pa death due to injuries, inakuaje Watanzania wengi wanakufa kwa injury kuliko Kenya na huku kenya tuna deal na alshabaab, cattle rustling deaths, mauaji ya kikabila...Roberry with violence, police extra judicial killings, politically instigated assassinations etc

This is so sad, whatever the difference ya Tanzania na Kenya you have, put it in percentage what I'm talking about.

Death due injuries it goes hand in hand with low rate of unemployment. Watu wetu wengi wanapata matatizo while at work farming etc. Sio kama huko kwenu wanapoteza maisha due to extra judicial killing huku wakiwa jobless.
 
Kumaliza Haya yote hebu tupe Doctor to population ratio kati y Kenya na Tanzania
Nashuku sana hutaweka ila ningependa sana uwekeke to settle this matter once and for all.
Vile mko desperate mpaka mnapitiliza. Sijuwi niwahesabu wake wacuba, kama wakenya au sio wakenya?

Na wewe jaribu utupe data ya low income families health insurance coverage ya huko kwenu.
 
Lol...Annael...Ni nini hapo Kenya haifanyi. Cardiac operation, brain surgery, kidney transplat(sio transportation) are all done in Kenya. Did you know we even separated Siamese twins at a public hospital ..lol

Kenyan pharmaceuticals export almost 70% of all medicine in East Africa. Hata kwenye hiyo LDC yenu. Dawa twawauzia, vyombo vya operation mwanunua kenya hata surgical knives...lol..

Ama ulikua unafikiri tunaongea kuhusu matibabu ya mitishamba...lol. Hiyo mmetushinda kabisa.
Surgical blades lol ati knives
 
Vile mko desperate mpaka mnapitiliza. Sijuwi niwahesabu wake wacuba, kama wakenya au sio wakenya?

Na wewe jaribu utupe data ya low income families health insurance coverage ya huko kwenu.
Nilijua huwezi weka ukweli, hapo nilikukamata.
 
This is so sad, whatever the difference ya Tanzania na Kenya you have, put it in percentage what I'm talking about.

Death due injuries it goes hand in hand with low rate of unemployment. Watu wetu wengi wanapata matatizo while at work farming etc. Sio kama huko kwenu wanapoteza maisha due to extra judicial killing huku wakiwa jobless.

Deaths Per 1000 people is already relative to population.

Meaning per 100 people (percent), Kenya ni 47.4 na Tanzania ni 51.1
 
Kumaliza Haya yote hebu tupe Doctor to population ratio kati y Kenya na Tanzania
Nashuku sana hutaweka ila ningependa sana uwekeke to settle this matter once and for all.
Mbona unachagua indicator unayoipenda, hebu leta namba ya cardiac surgeries zinazofanyika katika public hospitals per year
 
Back
Top Bottom