Dhuks
JF-Expert Member
- Mar 15, 2012
- 1,629
- 695
Nimewahi kuwa na mijadala na Wabongo, lakini huyu kiboko kweli. Lazima awe mzee fulani mwenye itikadi kali sana na kama ana watoto, jameni lazima wawe wanapitia majanga. Ulimwengu wa sasa lazima uwe mjanja wa lugha kadhaa na haswa zilizostawi.
mwenyewe hajakomaa kabisa sasa wamuita mzee?