Kwanini mizigo yetu mnaiacha nyuma, (Nairobi) wakati tuna connect flight?
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!
Mie hata sijawahi kupanda ndege,kumbe mizigo huwa haiwekwi kwenye buti kama kwenye gari.
Customer care yao sefuri unamsemesha mhudumu kavuta mdomoo..lakini kw mzungu meno yote nje. Afu hata zile long journey unabaniwa bia tatu tu. Ethiopian hadi raha ..full mi whiskey unajipimia
Kwanini mizigo yetu mnaiacha nyuma, (Nairobi) wakati tuna connect flight?
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!
Kwanini mizigo yetu mnaiacha nyuma, (Nairobi) wakati tuna connect flight?
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!
Kwanini mizigo yetu mnaiacha nyuma, (Nairobi) wakati tuna connect flight?
Ukifika Dar unastukia mizigo haijafika! Ukiuliza hakuna anayekujibu sana sana utaambiwa hatujui jaza fomu njoo kesho.
Hakuna service ya kuitrace ipo wapi na kwanini haiku board kwenye flight waliyo kuconnect!
Siku utakayoipata unakuta mabag yalifunguliwa na baadhi ya vitu havionekani!
MNA
tatizo gani? nyie mnaimba pride of Africa and you are real shame of Africa!
Mashirika ya kiswahili yote hata SAA ni vululu tu