Mungu Aendelee Kumlinda Dr KK.
Ndio faida ya kutenda mema na haki kwenye uongozi..
KK hakuwa mbadhilifu, hakuwa mvunjaji wa Katiba ovyo ovyo kama Viongozi wengi wa hivi sasa na KUBWA kupita yote alikuwa MWANA DEMOKRASIA wa ukweli.
Ndio maana kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwisho alioshirik,i alishindwa kwenye sanduku la kura na Frederick Chiluba na kwa amani kabisa akakubali kuwa ameshindwa akakabidhi madaraka.
Hakufanya chembe ya dhuluma kwa kumpigia "Jecha" wa Zambia simu abadili matokeo na yeye ndio atangazwe mshindi japo alikuwa na uwezo huo.
Ndio maana mpaka kesho wananchi wa Zambia wanampenda na kumkubali.
Live Long Dr KK.