Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
Salaam!
Bunge la msimu huu lilikuwa active. Asilimia kubwa ya wabunge wakiongozwa na wa upinzan walijahidi sana kutetea masilahi ya Mtanzania. Waliibua hoja nzito, walionyesha msimamo ktk yale wanayoyaamini.
Najiulza kuwa wameyafanya haya kwa kutafuta sifa, utashi binafsi, sera za vyama vyao, kutetea masilahi binafsi au upepo mkali wa siasa unaovuma zama hiz?
Nawakilisha kwenu.
Wasalaam.
Bunge la msimu huu lilikuwa active. Asilimia kubwa ya wabunge wakiongozwa na wa upinzan walijahidi sana kutetea masilahi ya Mtanzania. Waliibua hoja nzito, walionyesha msimamo ktk yale wanayoyaamini.
Najiulza kuwa wameyafanya haya kwa kutafuta sifa, utashi binafsi, sera za vyama vyao, kutetea masilahi binafsi au upepo mkali wa siasa unaovuma zama hiz?
Nawakilisha kwenu.
Wasalaam.