KELVIN GASPER
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,066
- 454
Linaenda linaenda linarudi sijui linasomba nini. Yaan ni kerokerokero.
Si wanasema mkuu kalala Kibo palace, eti kaacha mount meru hotelLinaenda linaenda linarudi sijui linasomba nini. Yaan ni kerokerokero.
Lipige mawe tuuLinaenda linaenda linarudi sijui linasomba nini. Yaan ni kerokerokero.
Hii wkend sijaenjoy kabisa, police wanakuja mpaka bar aisee, mambo gani haya.Linaenda linaenda linarudi sijui linasomba nini. Yaan ni kerokerokero.
Zile nissan nyeupe zimetapakaa mji mzima na kwenye mabaa maarufuHii wkend sijaenjoy kabisa, police wakuja mpaka bar aisee, mambo gani haya.
Sisi hatuna shida nao, kila mtu afanye yake.
masikini bwana ana matatizo sana; likipita Gari utasema linatimua vumbi, ikipita helkopita kelele, ikipita bodaboda magogo ya mnazi yanachimbiwa kama yote,akipita mtembea kwa miguu anaonekana hana nauli, mwenye Gari akishusha vioo anajionesha, akifunga vioo anaringa, mwanake akipita hana tako kosa, akiwa na tako miruzi kama yote.....Linaenda linaenda linarudi sijui linasomba nini. Yaan ni kerokerokero.
Na akijitokeza mtu, akasema yeye hajawahi kuona helkopita, ataambia toka Shamba huko.masikini bwana ana matatizo sana; likipita Gari utasema linatimua vumbi, ikipita helkopita kelele, ikipita bodaboda magogo ya mnazi yanachimbiwa kama yote,akipita mtembea kwa miguu anaonekana hana nauli, mwenye Gari akishusha vioo anajionesha, akifunga vioo anaringa, mwanake akipita hana tako kosa, akiwa na tako miruzi kama yote.....
SIELEWAGI KABISA BINADAM ANATAKA NINI
Siku hizi halali ikulu ndogo tena?Si wanasema mkuu kalala Kibo palace, eti kaacha mount meru hotel
Ndo hivo kaamuaSiku hizi halali ikulu ndogo tena?
ukimfikria huyo kiumbe utapata shida sanamasikini bwana ana matatizo sana; likipita Gari utasema linatimua vumbi, ikipita helkopita kelele, ikipita bodaboda magogo ya mnazi yanachimbiwa kama yote,akipita mtembea kwa miguu anaonekana hana nauli, mwenye Gari akishusha vioo anajionesha, akifunga vioo anaringa, mwanake akipita hana tako kosa, akiwa na tako miruzi kama yote.....
SIELEWAGI KABISA BINADAM ANATAKA NINI
Wanamtafuta nani?Arusha tangu juzi hatupumui, wapelelezi kila Kona, as Kari wametawanywa mbaya kabisa