Kelele au ugomvi

Kelele au ugomvi

ngosha mchele

Member
Joined
Dec 7, 2014
Posts
71
Reaction score
40
Nisaidieni namna yakukwepa ugomvi wa mara kwa mara ndani ya nyumba,dah mtu ukimuuliza kitu kidogo tu maneno yake majibu yake duh unatamani ardhi ipasuke uingie ndani,wanawake wa kizazi hiki nani kawaroga?? Muwe na akiba ya maneno,hivi kumzidi kipato mumeo ndo kumfanyia dharau??
 
Nisaidieni namna yakukwepa ugomvi wa mara kwa mara ndani ya nyumba,dah mtu ukimuuliza kitu kidogo tu maneno yake majibu yake duh unatamani ardhi ipasuke uingie ndani,wanawake wa kizazi hiki nani kawaroga?? Muwe na akiba ya maneno,hivi kumzidi kipato mumeo ndo kumfanyia dharau??
 
Nahisi si kwa sababu anakuzidi kipato Noooo! Hapo kuna kitu hakijakaa sawa kwako ila mhanga ameshindwa kukueleza ukweli tu. Sababu baadhi ya wanawake huwa hawawezi kuwaeleza waume zao pindi wanapokosea inabaki kujibu lolote litakalo muijia.....tumia akili bro jichunguze na urekebishe
 
Nisaidieni namna yakukwepa ugomvi wa mara kwa mara ndani ya nyumba,dah mtu ukimuuliza kitu kidogo tu maneno yake majibu yake duh unatamani ardhi ipasuke uingie ndani,wanawake wa kizazi hiki nani kawaroga?? Muwe na akiba ya maneno,hivi kumzidi kipato mumeo ndo kumfanyia dharau??
Ishi na mwanamke kwa akili, jichunguze sana mkuu kabla ya bomu kulipuka, kuna uwezekano siku nyingine ukaja humu na kisa cha kutupiwa mabegi nje
 
MATATIZO YAKO YA SOLUTIONS MBILI LA KWANZA KUOA MKE WA PILI NA NYINGINE TAFUTA MCHEPUKO UKIONA ANAANZA MAKERERE UNASIKILIZA ILI UPATE STRESS ALAFU UNAENDA KUTULIZWA NA MCHEPUKO
 
Nisaidieni namna yakukwepa ugomvi wa mara kwa mara ndani ya nyumba,dah mtu ukimuuliza kitu kidogo tu maneno yake majibu yake duh unatamani ardhi ipasuke uingie ndani,wanawake wa kizazi hiki nani kawaroga?? Muwe na akiba ya maneno,hivi kumzidi kipato mumeo ndo kumfanyia dharau??
Unarudi nyumbani saa ngapi?
 
Back
Top Bottom