Keissy amwashia moto Mnyika. Asema haaswi kumfananisha Muhongo na Lowassa

Naweka kumbukumbu vizuri humu ndani ili wachangiaji mjadili kwa makini na siyo mihemuko ya kisiasa.

Lowassa alijiuzulu uwaziri mkuu , hakugombea uwaziri Mkuu aligombea urais. Kama angejiuzulu urais akarudi tena kutuomba urais hapo ningeungana na mh.Kessy
Mh kweli JF imeingiliwa na vidudu. Hapa sielewi nini umemaanisha. Ndiyo maana watu wanaamini kila kitu. Lowasa na Sumaye viongozi waandamizi serikali za awamu ya tatu na nne bila aibu walizunguka nchi nzima kusema serikali ya ccm haijaleta kitu as if wao walijua upinzani miaka yote.
 
hv Lowassa tangu ahamie UKAWA idadi ya wabunge wa UKAWA imepungua au imeimarika zaidi?

Nakuongezea, je ruzuku imepungua au imeongezeka, tena Halmashauli zinazoongozwa na ukawa zimepungua au? Wakijibu hilo ndio tuendelee nao.
 
Ila kwa akili yako mbowe zipo zote kichwani

Mbowe amekujaje tena? Kessy hana wa kumfananisha nae ukawa, labda Chiku Abwao lakini yuko ACT. Mbowe dunia nyingine muulize PM atakuambia, kama nyie inatakiwa mjikusanye milioni 9 mchanganye akili zenu.
 
Natoa hoja, naomba Serikali ya Tanzania ihairishe uwepo wa vyama vingi na turudi kwenye chama kimoja ili nchi iende kwa usalama na raha. Tumechoka makapuku wa upinzani kuja oho ili oho ilo wapi bwana. Pesa ziende kwenye kupeleka wabunge kama yule wa Musoma kujifunza public relationship na jinsi ya kuongea kwenye bunge na mtoto wa marehemu ajifunze kuwa waliokufa kwenye vita vya kwanza na pili ni binadamu wanastahili heshima, naomba pesa za wapinzani ziende kununua washawasha ili zitumike baada ya uchaguzi ingawa hazitahitajika. Bunge livunjwe. Rais ana uwezo wa kufanya hivyo na aitishe uchaguzi ili vyama vya upinzani vyote vitokomee mbali hatuvitakiiiii. Vivaaaaaaa.
 
Tehee maajabu mengine haya yanapatikana Tanzania eti Kessy nae mbunge machachari kwa lipi...hapo hajajibu hoja ya Mnyika zaidi ya kutoa mipasho unaambiwa bunge limedharauliwa kwa kumteua Muhongo tokana na sheria za kibunge na maadili ambazo hata Mr.Hapa Kazi Tu anajua fika kuwa ni kosa ye anakuja na habari za Lowasa

Umeeleza vizuri sana.Lowassa alijiuzulu uwaziri mkuu kukinusuru chama chake na serikali isianguke na kuitishwa uchaguzi mpya.Mhongo aliwajibishwa na bunge na kulazimika kujiuzulu kwa kuelemewa na kashfa ya ufisadi ndani ya escrow mmesahau?Pamoja na kwamba raisi anatokana na chama chenu lakini hamjamwelewa vizuri Magufuli.Huyu raisi Magufuli anao uthubutu ambao wote waliopita hawakuwa nao.Haogopi kumtumbua yeyote akigundua kosa na hatakuonea atakutumbua kwa haki na hana rafiki asiefuata sheria hata ungekuwa rafiki yake kiasi gani.Muhongo hawezi kuwa rafiki yake zaidi ya Charles Kitwanga waziri wa mambo ya ndani na ninavyochangia uzi huu ameshamsimamisha kazi kutokana na kujibu swali bungeni akiwa amelewa.Hivyo nae Muhongo na wengine wapo kwenye mzani akigundua lolote baya juu yao hatajali urafiki atakuwajibisha tu.Hizo namba mtaendelea kuzisoma nyie.Poleni.
 
kapiga au ndio gharama za uwakili wa kesi toka imeanza.alichofanya muhongo ni kulimaliza maana gharama za uwakili zingefika sawa na gharama za mitambo ambayo ni b 120.kumkumbatia vp mbona mwenye kashfa ya RICHMOND amesafishwa na kasafishika?
kwani hiyo DEAL ya uwakili alipewa na serikali ya CCM au serikali ya UKAWA?
 
Naweka kumbukumbu vizuri humu ndani ili wachangiaji mjadili kwa makini na siyo mihemuko ya kisiasa.

Lowassa alijiuzulu uwaziri mkuu , hakugombea uwaziri Mkuu aligombea urais. Kama angejiuzulu urais akarudi tena kutuomba urais hapo ningeungana na mh.Kessy
Kessy hatari
 
Habari yako, umepotea hizi siku mbili tatu....au siku hizi hampewi mb za bure na yule waziri wenu wa propaganda.
Nipo Mkuu! Nilikuwa nasherehekea Kukwanyuliwa kwa MLEVI BUNGENI..... Manyumbu wengi kwa wiki kadhaa walikuwa wakijalibu kumhusisha RAIS Wetu Mpenda hili LIJAMAA sasa kwa kweli ROHO KWATUU kama PAMBA CLASS 1! Go JPM Go JMP Go JPM! nashauri Kipima Pombe na Kipima majani ya Arusha vianze kutumika kuwapima watu wanaotakiwa kutoa hoja na kujibu hoja Bungeni....
 
kweli kabisa naungana na kessy! tatizo CHADEMA wanajiona wanajua kila kitu ila jinamizi la Lowassa litawatesa maisha yao yote.
walikuwa wamejivalia ngozi za kondoo kumbe hata wao mbwa mwitu tu.

No, no, no, Kama alifanya makosa yanayohusiana na masuala ya fedha za umma kama unavyosema, kwa nini liwe jinamizi la kuwatesa CHADEMA?? you've got to be serious man. Kwa nini hafikishwi mahakamani kwa kusababisha upotevu wa fedha za umma? ndiyo maana tunasema kila siku humu, kama hamna hoja za msingi, then leave this old man alone.
 
Nipo Mkuu! Nilikuwa nasherehekea Kukwanyuliwa kwa MLEVI BUNGENI..... Manyumbu wengi kwa wiki kadhaa walikuwa wakijalibu kumhusisha RAIS Wetu Mpenda hili LIJAMAA sasa kwa kweli ROHO KWATUU kama PAMBA CLASS 1! Go JPM Go JMP Go JPM! nashauri Kipima Pombe na Kipima majani ya Arusha vianze kutumika kuwapima watu wanaotakiwa kutoa hoja na kujibu hoja Bungeni....
Hahaha...ok Mkuu ila najua baraza lina vitwanga wengi tu....msiishie kusheherekea ,tafuteni vitwanga wengne ,najua wapo wengi tu.
Nakubaliana na wewe 100% kuhusu kipimo cha majani na pombe kikiwekwa itabidi tuanze na wale wabunge wawili(anayesikia uchungu bi.Ag na yule mwingne wa sanamu ya diamond)
Jumatatu njema Mkuu.
Be blessed.
 
Naweka kumbukumbu vizuri humu ndani ili wachangiaji mjadili kwa makini na siyo mihemuko ya kisiasa.

Lowassa alijiuzulu uwaziri mkuu , hakugombea uwaziri Mkuu aligombea urais. Kama angejiuzulu urais akarudi tena kutuomba urais hapo ningeungana na mh.Kessy
Rudi shuleni ukajifunze mantiki (reasoning)
 
kwani kazi ya mbunge ni kumjibu mbunge mwingine au ni kazi ya serikali kuwajibu wabunge? wabunge wa Tanzania hawajui wajibu wao hasa wa CCM wanajifanya kuwa sehemu ya serikali kumbe walitakiwa wawe wanaibana serikali kwa pamoja
 
Back
Top Bottom