Isanga family JF-Expert Member Joined Feb 25, 2015 Posts 20,494 Reaction score 41,177 Jul 13, 2024 #1 Kazungula ni mpaka uliopo kati ya Zambia na Botswana hili eneo limetenganishwa na mto Zambezi. Kwa ukanda huu wa Nchi za SADC hakuna boarder post iliyojengwa kwa ubora na kila eneo la wasafiri kutenganishwa kama hapo Kazungula. Lipo eneo tofauti na madereva wanaoendesha malori na wanagonga Passport zao eneo lao na pia abiria wa Bus na magari binafsi eneo lao. Huduma za choo zipo za kutosha na safi pia lipo eneo la restaurant na Bank na WiFi inapatikana. Na pia ni boarder yenye usalama kwa mali za wasafiri magari au mizigo itakayotunzwa hapo ni mara chache sana kupotea.
Kazungula ni mpaka uliopo kati ya Zambia na Botswana hili eneo limetenganishwa na mto Zambezi. Kwa ukanda huu wa Nchi za SADC hakuna boarder post iliyojengwa kwa ubora na kila eneo la wasafiri kutenganishwa kama hapo Kazungula. Lipo eneo tofauti na madereva wanaoendesha malori na wanagonga Passport zao eneo lao na pia abiria wa Bus na magari binafsi eneo lao. Huduma za choo zipo za kutosha na safi pia lipo eneo la restaurant na Bank na WiFi inapatikana. Na pia ni boarder yenye usalama kwa mali za wasafiri magari au mizigo itakayotunzwa hapo ni mara chache sana kupotea.
and 998 others JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 27,921 Reaction score 39,104 Jul 14, 2024 #2 Ndo maana Ruto anataka Sana kujiunga SADC aje awajambishe tena
Caesar14 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2022 Posts 556 Reaction score 1,045 Jul 14, 2024 #3 Nimepita hapo mara nne ni kweli unayosema hakuna tofauti sana na Tlokweng Border!!