JamboJema
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 1,143
- 209
Leo katika kipindi cha Jambo - TBC wabunge wawili, wa kisarawe na mwingine, walikuwa wakiongelea kulinda ajira ya mtanzania. Walisisitiza sana 'ajira za watanzania' kutokufanywa na wageni. Swali langu ni kujua ni zipi hasa ajira za watanzania na sheria ipi inazisimamia hizi ili zisivamiwe na wageni.