kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,788
- 5,027
Ulaya unaweza kutuma CV zako za kuomba kazi sehemu mbali mbali. Yaani ukatuma CV hata 20
Siku ambayo mmoja atakupigia simu ndio siku ambayo wote watakupigia simu
Siku hiyo hiyo hivo ndio unachanganikiwa sasa uende wapi na uache wapi
Hivi hua ni kwanini wenzangu?
Maana mimi hua sielewi usijekuta ndio wanatupima amini kabisa
Kama mimi hivi nilipata kazi yangu nzuri ya dollars 23 kwa saa
Kazi yangu ya zamani ambayo nilikuwa nawapigia simu nirudi kazini nao jana wamenipigia ni rudi kazini
Hawa watu wanatupima imani au vipi
Au ni kwangu peke yangu ndo kuna tokea mambo kama hayo wenzangu naombeni mnijibu
Siku ambayo mmoja atakupigia simu ndio siku ambayo wote watakupigia simu
Siku hiyo hiyo hivo ndio unachanganikiwa sasa uende wapi na uache wapi
Hivi hua ni kwanini wenzangu?
Maana mimi hua sielewi usijekuta ndio wanatupima amini kabisa
Kama mimi hivi nilipata kazi yangu nzuri ya dollars 23 kwa saa
Kazi yangu ya zamani ambayo nilikuwa nawapigia simu nirudi kazini nao jana wamenipigia ni rudi kazini
Hawa watu wanatupima imani au vipi
Au ni kwangu peke yangu ndo kuna tokea mambo kama hayo wenzangu naombeni mnijibu