Kazi za Mahoteli Zanzibar, Karibuni

Kazi za Mahoteli Zanzibar, Karibuni

Zanzibar-Nyamwezi

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
1,244
Reaction score
766
Imekuwa shida kubwa kwa wawekezaji na Mameneja wa Mahoteli ya Kitalii.
Wa Tanzania wote karibuni, kwani imekuwa aibu hadi wawekezaji wana lazimika kuchukua Wakenya kwa gharama kubwa.
Tatizo hili lipo kwa sababu Wazanzibari wengi wanaishi Zanzibar Town, hawataki kwenda kuishi Shamba, eti Shamba ni Zile Beach 30 Km from Town, huko ndiko mahoteli yaliko na watalii huko vijijini ni wengi mara 5 Wana nchi, na huko ni vijijini elimu ni ndogo na pia kijana wa kijijini yuko radhi arande na Ngalawa beach na kupakia watalii kwa dola 5 kuliko kuajiriwa.
 
Hebu weka vizuri taarifa hotel zipi zenye nafasi na utatusaidia kujua package zikoje sio tutoke mwanza kwa package ya 180k
 
Hebu weka vizuri taarifa hotel zipi zenye nafasi na utatusaidia kujua package zikoje sio tutoke mwanza kwa package ya 180k

Mishahara ya kawaida ni:Gardeners 250,000. Accountants 1,000,000. Waitres and Barmeid 200,000. Chef 800,000. Kitchen Staff 400,000. Reception 500,000. Security 300,000. Cleaners 250,000. Managers 2,000,000. This just an averege, inaweza kuzidi au kupungua. Mahoteli sitaji majina, ila Pwani zote Unguja zina mahoteli kama takataka kuanzia East, Jambiani, Paje, Bwejuu, Dongwe, Kianga, Michamvi. North-East Kiwengwa, Uroa, Marumbi, Matemwe, Pwani Mchangani. North ni Nungwi na Kendwa. Pia Western kuna Mangapwani. Deep South pia Kizimkazi. Na vile vile mjini Zanzibar naona mahoteli ya Hali ya juu sana mapya. Vijiji vyote hivyo unafika kwa saa moja kwa Dala Dala from Zanzibar Town na nauli hamna pa kufikia 2000. Huko unaweza kumchukua mtu wa Boda boda na kukurandisha Hoteli zote za area, budget huenda mkapatana kila hoteli 2000 na yote yanapakana.
 
Nashukuru kwa taarifa,kwa wale wanaotafuta kazi kweli hapa inalipa si sawa na ma--------- wa hapa bongo mshahara 180,000.Hizi ndo fursa jirani zetu wa kwa Kenyata wakipewa tunalalamika oooh sijui nini!!
Mishahara ya kawaida ni:Gardeners 250,000. Accountants 1,000,000. Waitres and Barmeid 200,000. Chef 800,000. Kitchen Staff 400,000. Reception 500,000. Security 300,000. Cleaners 250,000. Managers 2,000,000. This just an averege, inaweza kuzidi au kupungua. Mahoteli sitaji majina, ila Pwani zote Unguja zina mahoteli kama takataka kuanzia East, Jambiani, Paje, Bwejuu, Dongwe, Kianga, Michamvi. North-East Kiwengwa, Uroa, Marumbi, Matemwe, Pwani Mchangani. North ni Nungwi na Kendwa. Pia Western kuna Mangapwani. Deep South pia Kizimkazi. Na vile vile mjini Zanzibar naona mahoteli ya Hali ya juu sana mapya. Vijiji vyote hivyo unafika kwa saa moja kwa Dala Dala from Zanzibar Town na nauli hamna pa kufikia 2000. Huko unaweza kumchukua mtu wa Boda boda na kukurandisha Hoteli zote za area, budget huenda mkapatana kila hoteli 2000 na yote yanapakana.
 
Ni aibu kuacha mabonde na mapori kibao Tanganyika na kukimbilia Zanzibar kupalilia maua kwa ujira wa laki mbili.Watanganyika tujitambue. Sawaa?
 
Hebu nitajie hiyo hoteli inayomlipa receptionist laki 5 kwa mwezi,hoteli 5 star ndo zinaongoza kuwalipa wafanyakazi mishahara midogo hapa zenji,na Kama hutaki unafukuzwa wana chukua ma trainee,mshahara wa receptionist ni kuanzia 120000 - 300000 endapo tu utakuwa na experience kubwa, wahudumu wa restaurant na house keeping 100000 - 200000. Malipo ya mishahara zenji kwa ma hoteli ni Mabaya hasa kwa wafanyakazi ngazi za chini
 
Imekuwa shida kubwa kwa wawekezaji na Mameneja wa Mahoteli ya Kitalii.
Wa Tanzania wote karibuni, kwani imekuwa aibu hadi wawekezaji wana lazimika kuchukua Wakenya kwa gharama kubwa.
Tatizo hili lipo kwa sababu Wazanzibari wengi wanaishi Zanzibar Town, hawataki kwenda kuishi Shamba, eti Shamba ni Zile Beach 30 Km from Town, huko ndiko mahoteli yaliko na watalii huko vijijini ni wengi mara 5 Wana nchi, na huko ni vijijini elimu ni ndogo na pia kijana wa kijijini yuko radhi arande na Ngalawa beach na kupakia watalii kwa dola 5 kuliko kuajiriwa.

basi wana akili sana hao wanakijiji, hiyo dola tano unayoidharau akipata vichwa vitano tu kwa siku ni dola 25, kwa mwezi ni $750, akifanya hivyo miezi mitano tu atakuwa na $3750 (6,375,000/=), sawa na mshahara wa accountant, hiyo ni akili usiwadharau wanapenda kujifanyia kazi. btw, wewe ni wakala wa ajira huko mahotelini au?
 
Nashukuru kwa taarifa,kwa wale wanaotafuta kazi kweli hapa inalipa si sawa na ma--------- wa hapa bongo mshahara 180,000.Hizi ndo fursa jirani zetu wa kwa Kenyata wakipewa tunalalamika oooh sijui nini!!

Hebu nitajie hiyo hoteli inayomlipa receptionist laki 5 kwa mwezi,hoteli 5 star ndo zinaongoza kuwalipa wafanyakazi mishahara midogo hapa zenji,na Kama hutaki unafukuzwa wana chukua ma trainee,mshahara wa receptionist ni kuanzia 120000 - 300000 endapo tu utakuwa na experience kubwa, wahudumu wa restaurant na house keeping 100000 - 200000. Malipo ya mishahara zenji kwa ma hoteli ni Mabaya hasa kwa wafanyakazi ngazi za chini

Aloandika Vlad ni kweli hakuna mishahara aliyoitaja mleta mada katika mahoteli ya Zanzibar.Ukweli ni kuwa kazi zipo lakini si kwa mishahara hiyo na kazi zinapatikana kwa sababu wenyeji wengi hawataki kufanya kazi za mahoteli kutokana na imani na utamaduni wao.
 
Unanikumbusha Breezes Beach Club iliyopo Bwejuu ilivyojaa Wakenya kuanzia getini,maofisi,jikoni hadi wafagiaji.
 
Unanikumbusha Breezes Beach Club iliyopo Bwejuu ilivyojaa Wakenya kuanzia getini,maofisi,jikoni hadi wafagiaji.

Wazanzibar na mahotel km paka na panya wacha waajiriwe tu na wengine waende wanakaribishwa
 
Hebu nitajie hiyo hoteli inayomlipa receptionist laki 5 kwa mwezi,hoteli 5 star ndo zinaongoza kuwalipa wafanyakazi mishahara midogo hapa zenji,na Kama hutaki unafukuzwa wana chukua ma trainee,mshahara wa receptionist ni kuanzia 120000 - 300000 endapo tu utakuwa na experience kubwa, wahudumu wa restaurant na house keeping 100000 - 200000. Malipo ya mishahara zenji kwa ma hoteli ni Mabaya hasa kwa wafanyakazi ngazi za chini

Mahoteli mengi yana kuanzia mshahara wa 200,000 kama ni mfanyakazi wa kawaida, ila baada ya mwaka mmoja au miwili usishangae mshahara wa mtu huyo ni 600,000. It depends to yourself kama una nia au la. Kwa sababu la sivyo mwekezaji yuko radhi amchukue mkenya kwa Dola 1000 kuliko kazi yake kuharibika
 
Mahoteli mengi yana kuanzia mshahara wa 200,000 kama ni mfanyakazi wa kawaida, ila baada ya mwaka mmoja au miwili usishangae mshahara wa mtu huyo ni 600,000. It depends to yourself kama una nia au la. Kwa sababu la sivyo mwekezaji yuko radhi amchukue mkenya kwa Dola 1000 kuliko kazi yake kuharibika

Mkuu Mshahara 600,000 ??..Hakuna hiyo kitu..

Chakula chenyewe wanapewa kibovu hata ukimtupia Paka hali..

Wanaolala Hotel wamejazwa kwenye vyumba kama wafungwa..

Na ndiyo sababu kubwa ya wafanyakazi kuhama Hotel kila wakati..Kwa mishahara mibovu na Manyanyaso..
 
WAFANYAKAZI WA MAHOTELINI WANA MCHANGO MKUBWA SANA KATIKA JAMII.CHA AJABU WANASHINDA NA MAWAZIRI,WABUNGE,NA WATUMISHI WAKUBWA WA SEREKALI LAKINI AWAWATUMII KUWAFIKISHIA MALALAMIKO YAO IKIWEMO VIWANGO VYA MISHAHARA MIDOGO.wawekezaji wanaondoka na faida kubwa sana ,wageni wanapewa mishahara mikubwa pamoja na kukalishwa katika majumba mazuri huko masaki ,wakati watanzania wenyewe kwenye migahawa na hotel kubwa hapa town mishahara ni laki na nusu hadi laki na 30,embu leo wewe waziri,maofisa mnahusika kuwatetea hawa watu au mwanasiasa unayepita kula katika migahawa mikubwa au mahoteli haya fanya uchunguzi unaporudi bungeni uwasaidie watanzania wenzetu hawa ambao tipu za 500 au 1000 tunazowaachia aziwasaidii chochote,na wengi uishia kufukuzwa kazi kutokana na kujihusisha na kutaka kuongeza kipato chao,wamiliki pia au wasimamiz hawabanwi na sheria saa zengine ufukuza watu hovyo hata bila mpangilio,MUDA UMEFIKA TUTHAMINI MCHANGO WA HAWA WENZETU KATIKA UJENZI WA TAIFA HILI.
 
thus why tourism sector is going down. under performance ya utalii TZ ni pamoja na mambo haya.

yaan ukiwa unaijua hii sector vizur utaona jinsi watawala wanavyonya wananchi kwa kutumia wawekezaji. yan kila kona ya utalii wizi mtupu.

usiende kwenye mapori xaxa kwenye uwindaji yan hunting tourism huku ni shiida yan had Dr Leakey yule mchambuz wa soka , waarabu , wazungu yan full utapeli .
 
kuna daa angu alihama huko kwa ubaguzi japo no muislam alikuwa hotel wakambagua mbona alikimbia mji
 
Hebu nitajie hiyo hoteli inayomlipa receptionist laki 5 kwa mwezi,hoteli 5 star ndo zinaongoza kuwalipa wafanyakazi mishahara midogo hapa zenji,na Kama hutaki unafukuzwa wana chukua ma trainee,mshahara wa receptionist ni kuanzia 120000 - 300000 endapo tu utakuwa na experience kubwa, wahudumu wa restaurant na house keeping 100000 - 200000. Malipo ya mishahara zenji kwa ma hoteli ni Mabaya hasa kwa wafanyakazi ngazi za chini

wewe unajua mazingira ya nguja huyo anaropoka na hawalipi kwa wakati mpaka tarehe arobaini hadi hamsini
 
Back
Top Bottom