Wakati unaendelea kusikilizia, endelea kuongeza ujuzi zaidi mtaalamu hasa kwenye hizi evolving technologies.
1. Big Data Analytics/ Data Analysis
2. Data Science
3. Artificial Intelligence - Modeling + IoT
4. Mobile Application Programming
Nakuhakikishia ukiweka CV ya hizo technologies 4 kuwa upo vizuri, upo kwenye top 3% ya watu wenye uhakika wa kupata ajira za IT kenye soko.
Vitu kama system administration, computer networking na basics of security ni obvious sana.
Good luck champ.