Kazi ya ziada kwa Magufuli

Kazi ya ziada kwa Magufuli

ray jay

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
1,084
Reaction score
485
Hakuna ubishi kuwa Magufuli utashinda Urais wa nchi hii, Nikiwa kama kijana niliyeamini nguvu kubwa walioweka wapinzani ingetusaidia lakini kwa bahati mbaya nimepoteza kabisa matumaini nao na kuyaamini maneno ya Katibu wa itikadi na uenezi CCM Taifa Nape Nnauye kuwa hao jamaa ni SACCOSS.

Kila nilipomuangalia Mbowe akiwa anazungumza na mifano ya kitoto kuwa asiye na dhambi arushe jiwe....angefanya Busara kuwaomba radhi wafuasi wao kuwa miaka 8 walikuwa wakiwaaminisha uongo hivyo wanaomba radhi kwa kusema uongo na kumuomba radhi Mgombea wao waliyemsema sana kwa miaka hiyo yote (Lowassa).

Chakushangaza chama kimempata mtu kwa siku tatu wamemuamini na kumpa nafasi ya urais wakati Chama Cha Mapinduzi kimekaa nae kwa zaidi ya miaka 30 na hakijampa nafasi, hii ni aibu kubwa sana kwa Viongozi wa Chadema na Ukawa.

Magufuli ukishaingia Ikulu fanya jambo moja Nape aliwahi kusema ukimfukuza kichaa fukuza na makopo yake, Lowassa ana watu wake wengi wakubwa na wamekuwa wakimhujumu Kikwete tangia 2007 hivyo basi kwa sababu wanajulikana wafukuzwe wote ili nchi ibaki salama.

Hakuna siri kuondoka kwa Dk.Slaa CHADEMA ni pigo tosha na kifo cha
CHADEMA ,Kinana aliwahi kusema ifikapo Oktoba Ukawa utageuka ukiwa.

haijawahi tokea duniani ndani ya siku tatu mtu kutoka chama kimoja kuhamia chama kilichokuwa na heshima namba moja upinzani kumpa mtu nafasi ya urais ..fikiria mara mbili si maneno ya kishabiki...Dk.Slaa amefanya umamuzi sahihi kabisa na tunampongeza kwa kuamua kuacha siasa maana ameona ni sawa na mwanadamu unayaminishwa shetani si mzuri kisha siku moja unaambiwa mzuri na ndiye mungu!

Think Twice kiundani Zaidi.
 
Hebu jaribu kupiga simu kwa bibi yako kule kijijini umuulize kura yake atampa nani... Utapata jibu! Lowassa ndiye habari ya mjini!
 
Slaa hajaondoka CHADEMA.
EL hajachaguliwa/teuliwa na CHADEMA less so UKAWA
Imetokea sana Afrika kama Kenya, Guinea.
HUKUMU: Makosa matatu katika makala moja ni mengi mno kiasi kuifanya makala nzima iwe as useless as a bucketful of a morning goat's pee!
 
Sijawahi kuona Simba anapewa kazi ya kulinda Swala eti kisa kanyeshewa na mvua.
 
Hakuna ubishi kuwa Magufuli utashinda Urais wa nchi hii, Nikiwa kama kijana niliyeamini nguvu kubwa walioweka wapinzani ingetusaidia lakini kwa bahati mbaya nimepoteza kabisa matumaini nao na kuyaamini maneno ya Katibu wa itikadi na uenezi CCM Taifa Nape Nnauye kuwa hao jamaa ni SACCOSS.

Kila nilipomuangalia Mbowe akiwa anazungumza na mifano ya kitoto kuwa asiye na dhambi arushe jiwe....angefanya Busara kuwaomba radhi wafuasi wao kuwa miaka 8 walikuwa wakiwaaminisha uongo hivyo wanaomba radhi kwa kusema uongo na kumuomba radhi Mgombea wao waliyemsema sana kwa miaka hiyo yote (Lowassa).

Chakushangaza chama kimempata mtu kwa siku tatu wamemuamini na kumpa nafasi ya urais wakati Chama Cha Mapinduzi kimekaa nae kwa zaidi ya miaka 30 na hakijampa nafasi, hii ni aibu kubwa sana kwa Viongozi wa Chadema na Ukawa.

Magufuli ukishaingia Ikulu fanya jambo moja Nape aliwahi kusema ukimfukuza kichaa fukuza na makopo yake, Lowassa ana watu wake wengi wakubwa na wamekuwa wakimhujumu Kikwete tangia 2007 hivyo basi kwa sababu wanajulikana wafukuzwe wote ili nchi ibaki salama.

Hakuna siri kuondoka kwa Dk.Slaa CHADEMA ni pigo tosha na kifo cha
CHADEMA ,Kinana aliwahi kusema ifikapo Oktoba Ukawa utageuka ukiwa.

haijawahi tokea duniani ndani ya siku tatu mtu kutoka chama kimoja kuhamia chama kilichokuwa na heshima namba moja upinzani kumpa mtu nafasi ya urais ..fikiria mara mbili si maneno ya kishabiki...Dk.Slaa amefanya umamuzi sahihi kabisa na tunampongeza kwa kuamua kuacha siasa maana ameona ni sawa na mwanadamu unayaminishwa shetani si mzuri kisha siku moja unaambiwa mzuri na ndiye mungu!

Think Twice kiundani Zaidi.

Ukiyaamini maneno ya mwendawazimu nawewe ni mwendawazimu
 
Ni bora mkaendelea kujifariji kama hivi lakini mwaka huu hakuna wakuwahurumia mtapigwa tu.
 
Watu wengi mnashabikia bila kujenga hoja....ila tuanenda kwenye uchaguzi na tutarudi hapa kujadili wakati huo Magufuli ni Rais wa nchi, mnaaminishwa mambo yasiyo na msingi na mnabisha ukweli wa Dk. utajulikana soon.
 
Hebu jaribu kupiga simu kwa bibi yako kule kijijini umuulize kura yake atampa nani... Utapata jibu! Lowassa ndiye habari ya mjini!

Yaambie magamba yanatokwa na povu bila kujua nini yanaongea
 
wewe ni kilaza wa siasa mimi Nina degree ya political science, hivyo natamka wazi kuwa wewe ni KILAZA, kaa kimyaa.
 
Magufuli alujua ameokota embe chini ya mpapai,sasa mwenye embe amerudi.Uungwana ni kumrudishia.
Nafasi aliyopewa Magufuli ni sawa na ameomba maji akapewa sifongo na siki.
 
Magufuli alijua ameokota embe chini ya mpapai,sasa mwenye embe amerudi.Uungwana ni kumrudishia.
Nafasi aliyopewa Magufuli ni sawa na ameomba maji akapewa sifongo na siki.
 
Hakuna ubishi kuwa Magufuli utashinda Urais wa nchi hii, Nikiwa kama kijana niliyeamini nguvu kubwa walioweka wapinzani ingetusaidia lakini kwa bahati mbaya nimepoteza kabisa matumaini nao na kuyaamini maneno ya Katibu wa itikadi na uenezi CCM Taifa Nape Nnauye kuwa hao jamaa ni SACCOSS.

Kila nilipomuangalia Mbowe akiwa anazungumza na mifano ya kitoto kuwa asiye na dhambi arushe jiwe....angefanya Busara kuwaomba radhi wafuasi wao kuwa miaka 8 walikuwa wakiwaaminisha uongo hivyo wanaomba radhi kwa kusema uongo na kumuomba radhi Mgombea wao waliyemsema sana kwa miaka hiyo yote (Lowassa).

Chakushangaza chama kimempata mtu kwa siku tatu wamemuamini na kumpa nafasi ya urais wakati Chama Cha Mapinduzi kimekaa nae kwa zaidi ya miaka 30 na hakijampa nafasi, hii ni aibu kubwa sana kwa Viongozi wa Chadema na Ukawa.

Magufuli ukishaingia Ikulu fanya jambo moja Nape aliwahi kusema ukimfukuza kichaa fukuza na makopo yake, Lowassa ana watu wake wengi wakubwa na wamekuwa wakimhujumu Kikwete tangia 2007 hivyo basi kwa sababu wanajulikana wafukuzwe wote ili nchi ibaki salama.

Hakuna siri kuondoka kwa Dk.Slaa CHADEMA ni pigo tosha na kifo cha
CHADEMA ,Kinana aliwahi kusema ifikapo Oktoba Ukawa utageuka ukiwa.

haijawahi tokea duniani ndani ya siku tatu mtu kutoka chama kimoja kuhamia chama kilichokuwa na heshima namba moja upinzani kumpa mtu nafasi ya urais ..fikiria mara mbili si maneno ya kishabiki...Dk.Slaa amefanya umamuzi sahihi kabisa na tunampongeza kwa kuamua kuacha siasa maana ameona ni sawa na mwanadamu unayaminishwa shetani si mzuri kisha siku moja unaambiwa mzuri na ndiye mungu!

Think Twice kiundani Zaidi.
Eti hawa ndo qualified spindoctor wa CCM halafu utegemee matokeo tofauti ?!! much sorry CCM this is mere smoke screen.
 
Back
Top Bottom