fwillah994
Member
- Jul 25, 2019
- 8
- 3
ukipata solution tupia hpo maan kwangu pia inaleta hivyo hvyooSawa mkuu, ngoja nijaribie Duckduck au Bing
ukipata solution tupia hpo maan kwangu pia inaleta hivyo hvyooSawa mkuu, ngoja nijaribie Duckduck au Bing
Ahhhhhah, bado mkuu, hata internet cafe nimeenda inagoma kufungua sijui shida nini,ukipata solution tupia hpo maan kwangu pia inaleta hivyo hvyoo
Nitafata utaratibu mkuuHii yako kali
Kazi za unesi ndio zinapatikana hivyo bila hata interview n.k.
Can she work ouside the state,example with doctors without borders?Habarini za jioni wapendwa Kuna mdogo wangu anatafuta Kaz ya nurse ...ana cheti Cha nursing daraja la pili pia ana leseni... Ntashukuru Sana...kwa mawasiliano 0674968388
Kuna jamaa nimemsikia akisema humu ubadiri password sijui ziweje ila utafanikiwa kuonekana.Nitafata utaratibu mkuu
Nadhani anaweza,, but kama akishindwa hata Mimi pia naweza maana nimesoma kozi hiyo so kama kuna connection tusaidiane nduguCan she work ouside the state,example with doctors without borders?
Mkuu sorry una connection yoyote na hizo NGOs?Can she work ouside the state,example with doctors without borders?
Yes,am a doctor.Mkuu sorry una connection yoyote na hizo NGOs?
Okay.Nadhani anaweza,, but kama akishindwa hata Mimi pia naweza maana nimesoma kozi hiyo so kama kuna connection tusaidiane ndugu
Naomba nikufuate inbox mkuu Kuna vitu nikuulizeYes,am a doctor.
Hivi ulisaidika kweli mkuu mana wabongo kusaidiana ni kazi sana hasa ishu za channel!Naomba nikufuate inbox mkuu Kuna vitu nikuulize
Sikusaidika aisee.Hivi ulisaidika kweli mkuu mana wabongo kusaidiana ni kazi sana hasa ishu za channel!
KaribuNaomba nikufuate inbox mkuu Kuna vitu nikuulize
You can apply as a volunteer in dr without borders BUT nowdays an applicants shoukd have computer skills.Sikusaidika aisee.
Unajua katika kitu watu weusi huwa tunafeli ni kushindwa kuwa humble only for one minute.
Na Mimi nilihitaji information flani na sio kwamba yeye ndio anisaidie directly.
Mimi huwa napenda zaidi kujiamini na cv yangu bila referees,tangu nianze harakati za mambo ya kazi ni miaka nane Sasa na sijawah kutumia refa huwa napambana mwenyewe.
Wakati mwingine unaweza kushare mawazo na mtu halaf ukasaidiwa wewe na mtu ambaye umemdharau.