Kwa yeyote mwenye ofisi yake ya ufundi wa vifaa vya electronic naomba anisaidie jamani naitaji kuongeza ujuzi na kujifunza zaidi ufundi wa electronic,vizuri kama atakuwa dar es salaam.nisaidieni kwa hili wanajamii.Nitajitolea kufanya kazi zake for free.kama upo tayari ni PM