Kazi ya dhahabu ni nini?

Khalifavinnie

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2017
Posts
2,849
Reaction score
2,442
Dhahabu imekuwa moja ya madini ya kushangaza sana mbali na kutumika katika mapambo ya vitu na muundo wa vito, hii haitoshi kuiwakilisha katika umaarufu wake na ukuu wake katika jamii. Imekuwa na nguvu ya kushangaza kuzidi hata UHAI.
 
Ukishajua hizi sifa kuu mbili za dhahabu basi matumizi yake makuu utayafahamu hapo hapo
i) Dhahabu ndiyo metali pekee isiyopata kutu hata ukiizika miaka 1000 ukija ni kuifuta tu vumbi inabaki mpyaa
ii) Dhahabu ndiyo metali pekee inayosafirisha umeme na joto kwa kasi kuliko zingine zote kwa sasa. Hapa ndo matumizi yake makuu yalipo.
 
Dhahabu haiharibiki. Unaweza kuizamisha kwenye mchanganyiko wa acid na ukaitoa tena. Almasi yenyewe unaweza ichoma kwenye moto na kupata majivu kama ya mkaa.
 
Silver has the highest electrical conductivity among metals, followed by copper and then gold
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…