- Thread starter
- #21
Asante.
Nimekuelewa sasa.
Join Date : 14th July 2013
Nimekuelewa sasa.
Join Date : 14th July 2013
Duh kweli Simple minded people utawajua.
Haibiwi mtu humu.
Msone Meinkampf hapo juu.
Anzia kwanza kusaidia ndugu zako woote ndio ulete kazi hapa zisizo na profile.
Yaani kama ungejua kazi ya hii forum wala usinge post .Humu kuna watu Vichwa kweli,kila fani unayoijua wewe wamo humu.
Sasa kama unaona huna uwezo wa kuandika kazi gani na kama huna uwezo wa kujieleza utakwama.
Mie nikitaka kusaidia nasaidi kwa uwazi na ninachokiweza sio kuibia watu.