MTUSAMEHE,TUMEPATA IDADI KUBWA SANA YA PM.INATOSHA HATUTAJIBU TENA PM.Asanteni kwa waliotutumia PM na TUNAWASHUKURU kwa waliuotupa mawazo yao mazuri na mabaya.
====
Aina a kazi:Kawaida(general duties).
Elimu😀arasa la 7-kidato 4.
Sehemu ya kazi:Mkoa Pwani
Mshahara:150-200,000TZS
Mengineyo:Awe mwenye afya njema na uwezo wa kujitetea na wahalifu,nyumba atapewa chumba 1,chenye maji na umeme-atalipiwa,awe na wadhamini 2 wanaofanya kazi serikali.Kwenda kazini,hapahitaji nauli/usafiri.
Majibu ,yatatumwa kwa watakaoteuliwa tu.Majibu yatatoka tarehe 15.Aug.2013.Jiandae kuombwa picha kuthibitisha afya yako kwa nje kwanza.Hapahitajiki ujuzi kwa sababu kila kitu atafundishwa.
Njia ya kutuma maombi ni kwa PM tu,ili upewe maagizo ya ziada.
====
Aina a kazi:Kawaida(general duties).
Elimu😀arasa la 7-kidato 4.
Sehemu ya kazi:Mkoa Pwani
Mshahara:150-200,000TZS
Mengineyo:Awe mwenye afya njema na uwezo wa kujitetea na wahalifu,nyumba atapewa chumba 1,chenye maji na umeme-atalipiwa,awe na wadhamini 2 wanaofanya kazi serikali.Kwenda kazini,hapahitaji nauli/usafiri.
Majibu ,yatatumwa kwa watakaoteuliwa tu.Majibu yatatoka tarehe 15.Aug.2013.Jiandae kuombwa picha kuthibitisha afya yako kwa nje kwanza.Hapahitajiki ujuzi kwa sababu kila kitu atafundishwa.
Njia ya kutuma maombi ni kwa PM tu,ili upewe maagizo ya ziada.