Kazi TRA

Kazi TRA

aikambe

Member
Joined
Jul 5, 2014
Posts
90
Reaction score
14
Habari wana jamvi kwa tetesi kutoka kwa mtu wa ndani tra kaniambia kua zile nafasi walizotangaza watu wameshaitwa ofsn kutokana na majina yaliokua reserved suala langu ni kwanini walituambia tuombe
 
duh mbona wanatuzingua aisee, bora wasingetangaza kabisa

Wakuu,

Ndo yaleyale ya Uhamiaji.

Hawa jamaa kazi ni kuajiri ndugu zao tuu !

Angalieni nyie kina Rished na wenzenu kina masamaki tunawaangalia !
 
da mbona ni msiba kama ndio yatakuwa kama yale ya uhamiaji aise
:angry::angry:
 
da mbona ni msiba kama ndio yatakuwa kama yale ya uhamiaji aise
:angry::angry:
guys kuweni wapole... hakuna mtu hata mmoja aliyeitwa kinyemela na ukweli ni kwamba wapo katika hatua za mwisho na mtaitwa. tra is tryng ts level best to be fair, equality and professionalism
 
guys kuweni wapole... hakuna mtu hata mmoja aliyeitwa kinyemela na ukweli ni kwamba wapo katika hatua za mwisho na mtaitwa. tra is tryng ts level best to be fair, equality and professionalism

hizi ni zile nafas za july au?
 
Wakuu,

Ndo yaleyale ya Uhamiaji.

Hawa jamaa kazi ni kuajiri ndugu zao tuu !

Angalieni nyie kina Rished na wenzenu kina masamaki tunawaangalia !

hapana tra wako very wanajitahidi saana kufuta haki kwenye ajira,tra ya zamani ndio ilikuwa bomu,lakini kuanzia mwaka 2005 nA kuendelea mambo safi,mashirika yanayotumia nepotism kwenye ajira ni tanesco,tanroads,nssf etc
 
Mkuu tracy martins;comments yako.iko poa ila kwa tanesco kwa sasa nao wamepunguza nepotism kwa engineering sijajua kwa upande mwingine coz nilifanya interview na watoto wa wakulima wenzangu wameingia nami nimepata hope la kuingia
 
Back
Top Bottom