mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,161
- 801
nimeamka salama. baada ya maombi naingia ikulu ndogo buguruni
Mafuriko hayo pia yalikuwepo CCM lakini hayakumsaidiaNipo naelekea buguruni muda hu,Leo ni mafutiko kwenda mbele,mwisho Wa CCM umefika
Sidhani kama nyumbu wengi mnafanya kazi
Dah! Naona nyumbu mmejipanga mnajifariji