huku us ndio maana vitu kama internship/volunteerism vinasaidia.
May be ndio maana obama nae aliendakuwa community organizer mshahara 15k a year!!
Usikate tamaa na jitahidi sana kuwa mbunifu. Changamkia sana vitu kama internship, na ukiweza basi tafuta hata fake experience....hii imetusaidia wengi, lakini ole wako wajue ulidanganya, utakuwa fired on the spot.
Don't give up, man!