Zainab Tamim
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 1,293
- 583
Tunatafuta kijana wa kike au wa kiume ambae anabidii ya kujiendeleza, muaminifu, sharp, mwenye uwezo wa ku manage kazi tofauti tofauti na kuji manage mwenyewe, awe highly organized.
Huyu atakuwa personal assistant wa Mzee Abdul.
Mzee Abdul ana uzoefu wa miaka mingi sana wa management kwenye kampuni kubwa kubwa za Kimataiafa, kwa sasa anafanya kazi zake binafsi kutokea nyumbani kwake.
Yeyote anaetaka kujiendeleza binafsi na kupata uzoefu wa hali ya juu ajitokeze.
Kazi ni ya ku manage na kufatilia shughuli zote za Mzee Abdul za siku hadi siku.
Kazi ina constant pressures za deadline na inahitaji mtu ambae yupo organized, ataeji organize mwenyewe na ku organize shughuli za Mzee Abdul.
kazi zenyewe zitakuwa za kila aina, kuanzia kufatilia documentation, kufatilia mauzo, kufatila manunuzi, kufatilia matengenezo, ku coordinate na mafundi tofauti tofauti, wa ujenzi, wa magari, wa vifaa, kushauri na kutenda in a timely manner. Ni total general hands on management.
Malipo yatategemea na uwezo wako. No limit.
Kama unajiona unaweza, wasiliana na Mzee Abdul 0756803528 au tuma cv yako kwa email: abdulghafurtz@gmail.com
Hili tangazo limetolewa na Mzee Abdul na si Bi Zainab.
Kama una maswali yoyote uliza hapa nitakujibu, sitaki waste of time.
Nipo straight forward na sipendi longolongo.
Abdul
Huyu atakuwa personal assistant wa Mzee Abdul.
Mzee Abdul ana uzoefu wa miaka mingi sana wa management kwenye kampuni kubwa kubwa za Kimataiafa, kwa sasa anafanya kazi zake binafsi kutokea nyumbani kwake.
Yeyote anaetaka kujiendeleza binafsi na kupata uzoefu wa hali ya juu ajitokeze.
Kazi ni ya ku manage na kufatilia shughuli zote za Mzee Abdul za siku hadi siku.
Kazi ina constant pressures za deadline na inahitaji mtu ambae yupo organized, ataeji organize mwenyewe na ku organize shughuli za Mzee Abdul.
kazi zenyewe zitakuwa za kila aina, kuanzia kufatilia documentation, kufatilia mauzo, kufatila manunuzi, kufatilia matengenezo, ku coordinate na mafundi tofauti tofauti, wa ujenzi, wa magari, wa vifaa, kushauri na kutenda in a timely manner. Ni total general hands on management.
Malipo yatategemea na uwezo wako. No limit.
Kama unajiona unaweza, wasiliana na Mzee Abdul 0756803528 au tuma cv yako kwa email: abdulghafurtz@gmail.com
Hili tangazo limetolewa na Mzee Abdul na si Bi Zainab.
Kama una maswali yoyote uliza hapa nitakujibu, sitaki waste of time.
Nipo straight forward na sipendi longolongo.
Abdul