muku
JF-Expert Member
- Aug 23, 2014
- 312
- 80
Ndugu zangu naomba kuuliza hivi katika office ya mkuu wa mkoa mtu akiwa anafanya kazi kama system analyst ni vitu gani anavyokuwa akivifanya maana naona kama nchi yetu bado iko nyuma katika mambo ya technolojia hasa mikoani.....na je kuna marupurupu kweli zaidi ya mshahara?kuna kijana kapata huko ndio aliniuliza nikasema ngoja nilete mada humu maana hakuna kinachoshindikana humu.