Kazi gani zinazolipa TZ?

Kazi gani zinazolipa TZ?

Ha ha ha ha ha ha ha makambale nani anakula mkuu
 
kaz nzuri ni kuuza mazao mwemyewe,maana utapanga muda wa kuuza napia unaweza panga muda gan utakuwa unafanya mamb yako na familia yako
 
Udereva!
Mkuu mimi nina diploma ya marketing lakini pia ni dereva wa moja wa kati ya mashirika hapa nchini umri wangu ni 32 ila namshukuru mungu nimeachieve karibia 75% ya ndoto zangu.
Udereva unalipa mkuu kimtindo.
 
Lecturer wa degree na mhasibu mwenye cpa wanacheza kwenye 2m hadi 4m ....kwa kazi nyingine sijajua
 
Mkuu kazi kwa Tanzania we pambana ufanye kazi kwenye Taasisi za umma kama TPA,TBL na Bodi za serikali huko ndiko kuna mishahara ya kutisha degree kuchua l
M4 kawaida tu certifice tu laki5.5.Afu unaweza fika ofisini ukasaini na kusepa.
 
Back
Top Bottom